wembeee
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 2,708
- 1,353
Toka terehe 30th September 2015 majira ya 19:00hrs hamna service maeneo yote ya Ukonga Majohe mpaka sasa. Hii kampuni ina huduma mbovu na haivumiliki. Ukipiga simu huduma kwa wateja simu haipolekewi wanakuunganisha na mziki pasipo kujali kuwa unatumia gharama. Kama mmeshindwa kutuhudumia mbona malipo yetu ya mwezi mnapokea???
Note Nimechoshwa na utapeli huu na najuta kununua king'amuzi hiki
Note Nimechoshwa na utapeli huu na najuta kununua king'amuzi hiki