Nimechoka wizi wa TIGO

jisanja

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
1,075
684
Kwa kwel mtandao wa tigo umeniudhiiii kiasi cha kufikiria kuvunja vunja line yao...
Wamekua wapuuzi sana...kila nikiweka salio wanakata....nikiweka jero wanakata.....inabak kama 200 ivi muda ule ule nikiuliza salio mara mbili wanaikata mpaka na io mia mbili...nikiweka tena vocha wanakata....sijakopa wala sijajiunga na huduma zao za kulipia.wiki nzima hii kila nkiweka vocha wanakata.
Napiga customer care toka jiz hawapokei simu......nimewachoka!!
Pia hata internet yao ipo very slow........am so tired kwakwel kesho nakopy majina kwenye laini nyingine nawahama....nimechoka....nasema tigo nimechoka na wizi wenu
 
Tigo ni majanga tu hata mimi huwa nikiweka vocha line ya tigo hata kama sijajiunga wanapunguza salio, wakati nikiweka salio kwenye line ya voda au.airtel linaweza kukaa hata mwezi hawajapunguza hata senti, tigo wanakoelekea ni kubaya
 
Tigo ni wapuuzi sana mkuu... Sikuhizi siweki salio kwa wizi wao. Najiunga na kifurushi cha University kwa 1500 wiki nzima...
 
Ukichoshwa na ya tigo utapumzishwa na ya kuzima mobile data ili uongeze salio.

Mkuu tatizo sio kuzima mobile data, kwa upande wangu mimi line ya tigo ipo kwenye sim ambayo haina internet lakini wanakata salio na nlishawapigia wakanilekeza nitume maneno fulani kwenye namba moja walinipa nilituma lakini bado nikiweka salio wanapumguza tu
 
Tigo ni majangiri. Mtandao wao uko slow ile mbaya mwendo wa kobe ni mkali sana. Kiufupi vodacom na airtel ndio habari ya mjini.
 
Unaweza ukawa unaweka vocha wakat data iko on

Hapana.....siku ya kwanza walivyokata nkaangalia data off....kabla cjaweka hua natoa data on then ndo naweka vocha....bt hii n too much maana wamekata kama 2000 bila reason ya msingi
 
Hapana.....siku ya kwanza walivyokata nkaangalia data off....kabla cjaweka hua natoa data on then ndo naweka vocha....bt hii n too much maana wamekata kama 2000 bila reason ya msingi

Wapigie unaweza ukawa umeungwa caller tune na tigo bima bila kujijua
 
Kwa kwel mtandao wa tigo umeniudhiiii kiasi cha kufikiria kuvunja vunja line yao...
Wamekua wapuuzi sana...kila nikiweka salio wanakata....nikiweka jero wanakata.....inabak kama 200 ivi muda ule ule nikiuliza salio mara mbili wanaikata mpaka na io mia mbili...nikiweka tena vocha wanakata....sijakopa wala sijajiunga na huduma zao za kulipia.wiki nzima hii kila nkiweka vocha wanakata.
Napiga customer care toka jiz hawapokei simu......nimewachoka!!
Pia hata internet yao ipo very slow........am so tired kwakwel kesho nakopy majina kwenye laini nyingine nawahama....nimechoka....nasema tigo nimechoka na wizi wenu

Mm hilo nililiona mapema nikaachana kabisa na Tigo, mwanzo waliingia na gear ya nafuu, lakini kumbuka mkuu usemi wa wahenga nafuu ni gharama!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom