Nimechoka tabia ya watu kuja kwangu na kuniomba kila kitu wanachokiona nimenunua

instagram

JF-Expert Member
May 27, 2014
2,091
4,715
Kuna tabia ambao sasa hivi nimeanza kuiona mbaya sana kwangu, zamani nilikuwa nachukulia poa.

Mimi ni mtu wa kusafiri sana huwa nakusanya vitu mbalimbali naweka home. Ila kuna tabia ya watu wakiwemo wana na mademu zangu wakija home utaskia naomba hiki naomba kile nawapa.

Mwanzo niliona poa ila sasa najiuliza kwani mimi nilinunua vitu hivi ili nipoteze pesa zangu au? Hebu watu acheni tabia za kupenda kuona kitu umekipenda basi badala usema ukakinunue wewe unaishia naomba hiki naomba kile kwani mpaka umekiona kiko kwake mwenzio si kakinunua?

Kama unasoma uzi huu unakuja next time eti "naomba Jordan hizi" , "naomba tivii ile ya gym room" ujue zinauzwa na mimi nanunua, siyo nna saa mpya au simu mpya unakuja unaomba ya zamani kwani mimi siwezi kuwa nazo hamsini?.
 
Niww unaamua kuwapa ukikataa hawarudii

Na watz unatujua, akichukua mmoja anaenda kuhadithia wenzake kuwa jamaa ana roho nzuri, ukimuomba kitu cha home kwake anakupa tu

Kwa hiyo akiwatolea wachache mfano, story itabadilika kuwa ana roho mbaya na mchoyo, vitu vidogo tu anakaza
 
We jamaaa , mtu anaomba tv?
Mimi kuna chumba nimeweka vifaa vya gym na pia kuna tivii sizitumiii ziko huko sasa mtu anaomba, nikinunua tvii mpya zingine naweka kule, mimi nanunua sana vitu vipya ni mfuatiliaji sana wa teknolojia yani ni technocrat, japo kuna kitu una mpa mtu alafu unhitaji reference hukioni unajilaumu kwanini mtu kachukua kitu changu.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom