"Nimechoka" Sijawahi kuyafurahia mahusiano ya siri

Tafuta sababu inayokufanya uende huko nje halafu umwambie mkeo akishindwa ndo utafute hiyo altenative maana wanaume wa siku hizi bwana wanafata sana T**** nje sababu hawezi kumwambia mkewe. Hizi nyumba ndogo mie sizipendi mwenzenu basi tu sina jinsi

Nashukuru sana DA wangu huu unaweza kuwa ushauri wa maana ila suala T*** Huwa situmiagi ingawa watuaji siku hizi ni wengi na hata humu jamvini wapo najiuliza hili ni la kwangu mwenyewe au wengine wanapata karaha kama zangu ila wanakausha tu na kutafuta mwanamke mpya.
 
Mmh! Nimekosa cha kukushauri. Ngoja niendelee kufikiria.

Kanywe maji best. Nasubiri mtu wangu ingawa wanaume wachache sana humu hawako tayari kusema ukweli au ni mimi mzembe tu ndiyo maana nakoma?
 
wamamume twendenii tu n yumba ndogo ila ujue na mkeo ni nyumba ndogo somewhere,..............nina asilimia 70 ktka hili jambo,patamu hapo na huwezi kugundua kama mkeo anafanya mauchafu hayo kama unavyoamini wewe kuwa hajagundua na ukute mke anajua ila anakuchora tu .......lolo inauma hiyo
 
Bila infidelity ulimwengu hauwezi kuzunguka vizuri mwache aendelee na anachokifanya ma ukweli si anapendwa tuu...kumbuka wanawake wote wanataka service na idadi yao ni kubwa kuliko wanaume watapata wapi huduma kama tutazuia unfidelity?

hapo tu ndo huwa nakupendaga mamaa kubwa!!!!
 
wamamume twendenii tu n yumba ndogo ila ujue na mkeo ni nyumba ndogo somewhere,..............nina asilimia 70 ktka hili jambo,patamu hapo na huwezi kugundua kama mkeo anafanya mauchafu hayo kama unavyoamini wewe kuwa hajagundua na ukute mke anajua ila anakuchora tu .......lolo inauma hiyo

Kaka punguza ukali wa maneno maana haa panauma kama nini!
 
Mh hakuna mshauri hapa.

Unamaanisha nini maana wengi wanachosema ni kulingana na uzoefu na mazingira tunayoishi ingawa ki ukweli hili siyo zuri au jambo la kujisifia madhara ni makubwa kuliko faida
 
Mh hakuna mshauri hapa.

sasa huyo ni shemeji yangu ambaye ndie mshauri wangu....bila yeye ndoa yangu ingeyumba sana....nazidi kukushukuru shemeji Fidel kwa kuniokolea na kuninyoroshea ndoa yangu
 
Nyumba ndogo ni tamu kwasababu kila mmoja anafanya bidii apate anachokitaka.
Man unataka ngono, lady anataka mshiko.
Wanaume tulieni, hizo nyumba ndogo zina kubwa zake.
Hivi unajua sababu ya nyumba ndogo nyingi kutokuwa wivu?
 
Nimeshawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake mbalimbali kwa nyakati tofauti na pia katika vipindi hivyo nimejaribu kuwa na wapenzi wa pembeni (Sub) kwa siri sana na sijawahi kushtukiwa na wangu wa maukweli kwa namna yeyote nimecheza vizuri sana siku zote lakini nikiwa na wa pembeni kinachonipata ni maumivu ambayo athari zake zinakuwa kubwa kama vile kukosa utulivu kazini yaani binafsi ni tabu tupu maana unaathirika akili mpaka majirani wanakushtukia.

Najaribu kuangalia kasoro zangu zaidi ili nijirekebishe kwenye mahusiano najikuta napewa alama nzuri na bora ambazo wanawake wengi wanatamani wanaume wao wawe nazo.

Nimejaribu kuuliza marafiki zangu na baadhi ya watu wa karibu na wao wakinieleza kwa uaminifu kabisa kuwa ni kuwa ni kero na karaha za kutosha.

Wengine wanasema eti tatizo langu kubwa NAPENDA KIHINDI najiachia mwili mzima mzima na kuwaamini wanawake kupitiliza ilhali wanahitaji stamina yangu hivyo lazima niwe mbabe kidogo na kuwaumiza kimtindo ndiyo wananyooka kitu ambacho siyo fani yangu.

Najaribu kuchunguza zaidi zaidi nagundua ni pale napotaka kumfurahisha mpenzi wangu na kuwa karibu naye ndipo nafika mahali najikuta nagundua mambo mengi ya kudanganywa na zabibu zangu kuliwa na wengine na wale niliowahi kuwabana vizuri wengi walikiri na hapo nakosa ujasiri zaidi ya kuwasamehe na baada ya muda wanaachia ngazi wenyewe baada ya kujisikia aibu.

Hivi hili ni kwangu mwenyewe au wengine wanakutana na vitu kama hivi? Hebu jamani tuambine ukweli pasipo ushabiki, kujilinda au kuhukumiana wote tunaishi kwenye hizi jamii.

Ridhika na ulichonacho na pili uwe na shukrani hebu ona hapa

Derimto
JF Senior Expert Member

Join Date
Thu Nov 2010
Posts
296
Thanks
0

Thanked 72 Times in 46 PostsRep Power
 
Solomon 8: 6,7 - shows that love is as strong as death itself; it cannot be killed by time or disaster. It cannot be bought; it is freely given; it is priceless and must be shared within the guidelines that God provides. It urges that we accept the love of our spouse as God’s gift. Make your love a reflection of the perfect love that comes from God.

Mkuu nimedo de nidful.
 
je kwenye hao nyumba ndogo zako wapo ambao ni wake za watu?
kama jibu ni ndio basi uje inawezekana hata huyo wa maukweli ni nyumba ndogo kwa
njemba nyingine. kama huna mke wa mtu ambaye ni nyumba ndogo yako bado
hujapona kwani wa maukweli anaweza akawa anakuchora na analipizia kimyakimya
kwa kuwa nyumba ndogo sehemusehemu.

ushauri: fanya kile roho inapenda sio kwa sababu hujashtukiwa. roho ikikataa
basi achana na masuala ya nyumba ndogo, roho ikipenda wee jimwage tuu ila
chunga usalama kazini.
 
Back
Top Bottom