- Thread starter
- #21
Tafuta sababu inayokufanya uende huko nje halafu umwambie mkeo akishindwa ndo utafute hiyo altenative maana wanaume wa siku hizi bwana wanafata sana T**** nje sababu hawezi kumwambia mkewe. Hizi nyumba ndogo mie sizipendi mwenzenu basi tu sina jinsi
Nashukuru sana DA wangu huu unaweza kuwa ushauri wa maana ila suala T*** Huwa situmiagi ingawa watuaji siku hizi ni wengi na hata humu jamvini wapo najiuliza hili ni la kwangu mwenyewe au wengine wanapata karaha kama zangu ila wanakausha tu na kutafuta mwanamke mpya.