Abuu Abdurahman
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,447
- 1,770
Wewe jamaa una SIMANGO kweli !Kama kwa hii 'post' yako tu Mkuu na 'nyinginezo' za 'Kiushauri' hazitambadilisha 'Fikra' Jamaa basi huenda 'LUCIFA' ana Kazi nae 'Maalum' Kuzimu.
Wewe jamaa una SIMANGO kweli !Kama kwa hii 'post' yako tu Mkuu na 'nyinginezo' za 'Kiushauri' hazitambadilisha 'Fikra' Jamaa basi huenda 'LUCIFA' ana Kazi nae 'Maalum' Kuzimu.
Mnhh makubwa
tutampaHela
Acha utoto Dogo, ujui changamoto ndo mtaji siku hizi.....pambania gemu chaliiHabarini ndugu, maisha yana changamoto sana kuna wakati akili inachoka na kujiuliza ni lini hizi changamoto zitaisha.
Naandika hii sms huku moyo wangu ukivuja damu na Machozi yakinilenga.
Sioni pa kushika I feel disappointed, kwa anayeweza naomba anisaidie ili niweze kusonga mbele.
Ivi na wewe yalikukuta haya au ni wewe ulienda mrescue mtu kipind cha Covd kileNimeitika mkuu, na huu uzi niliuona tangu jana ila nikajikuta naandika, kisha nikaamua kufuta nulicho kiandika.
na Mungu akubariki.Habari ndugu zangu!!
Niliandika Uzi huu nikiwa na majonzi na huzuni lakini mda huu naandika nikiwa na chembe ya matumaini.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wale wote walioweza kunitia moyo na kunifariji NAWASHKURU SANA SANA, pia nilikwazika kwa kuzihakiwa na baadhi ya watu kwa kuniambia nikifa nikamsalimie Nyerere na Mkapa nasema kwamba nimesamehe kwa moyo wangu wote.
Naomba kumuongeza ndugu yetu mmoja humu ( sitamtaja jina) ameonyesha upendo wa dhati kabsa kwangu, hakika aliguswa sana na Uzi wangu, kwa upendo wake wa pekee ameweza kunisaidia kiasi cha pesa ili niweze kusonga mbele, NAMSHUKRU SANA SANA MUNGU AMBARIKI SANA.
Naomba niseme kwamba humu JF kuna watu watakuja na shida ya uhitaji hasa ya kiamaisha, kama utajiridhisha kuwa huyu mtu ni mhitaji na unaweza kumsaidia msaidie ila kama huwezi kumsaidia epuka kutumia maneno ya dhihaka kwake.
Kama huwezi kuweka daraja basi usiweke ukuta. Binafsi nimebarikiwa sana na huyu mtu narudia kusema Mungu ambariki sana.
Ameniachia NAFASI na mimi Nije kusaidia watu wenye uhitaji, siamini kabsa kwamba mtu ambaye hanijui ameweza kunisaidia? Nimetoa Machozi yenye furaha.
Asante pia kwa mwanzilishi wa JF na uongozi wote wa JF
Mungu aendelee kukupiganiaWale wote waliotoa mchango wa faraja kwangu siwezi kuwataja wote ila wanashukru sana
Kilangi masanja:
muxar:
mama D:
Fall Army Worm
Mwl.RCT
Nafaka
rr3
GENTAMYCINE
Siwezi kuwataja wote ila hao wote wamechagia mawazo mazuri sana ya kunijenga. Mungu awabariki Sana, ila kama kuna mwingine kama ataguswa kuniongezea nitashukru pia.
Asanteni sana wanaJF
Bob nusu na robo ya watu humu tuna stori zetu za kutia huruma.
Lakini leo wote tuko hapa.
Graduates kama wewe.
Not employed kama wewe.
Lost business.
Lost an acre of tomatoes.
Two kids.
Broke as fvck.
Na nipo hapa.
Mimi ni graduate napatikana kilimanjaro, Nilikuwa nafanya biashara ya kutoa samaki Mwanza - Kilimanjaro changamoto ni kwamba yule ambaye nilikuwa namtumia hela ameamua kutoweka na pesa, Napiga simu yake bila mafanikio hapatikani for 5weeks now
Pole kijana magumu ni ya binadamu na ukiwa hai kukumbana na hizo changamoto ni lazima, binafsi nilikua nimeenda mahala jana kujarib kukopa kiasi flani nikutumie nikawa nimegonga mwamba ila tuko pamoja , aluta kontinua.Wale wote waliotoa mchango wa faraja kwangu siwezi kuwataja wote ila wanashukru sana
Kilangi masanja:
muxar:
mama D:
Fall Army Worm
Mwl.RCT
Nafaka
rr3
GENTAMYCINE
Siwezi kuwataja wote ila hao wote wamechagia mawazo mazuri sana ya kunijenga. Mungu awabariki Sana, ila kama kuna mwingine kama ataguswa kuniongezea nitashukru pia.
Asanteni sana wanaJF
DamnMimi nipo Kilimanjaro broo usijali njoo geto kuna unga na mchele tutaendelea kupika mpaka utakapo simama powa ni pm ili nikuelekeze ninapo kaaa
Ok sawa mkuu, nashukru sana kwa nasaha zako!!Pole kijana magumu ni ya binadamu na ukiwa hai kukumbana na hizo changamoto ni lazima, binafsi nilikua nimeenda mahala jana kujarib kukopa kiasi flani nikutumie nikawa nimegonga mwamba ila tuko pamoja , aluta kontinua.