Utasaidiwa vipi bila kusema hizo changamoto..... pia maisha yapo hivyo full changamoto ........jaribu kutembelea hospital uone changamoto na watu bado wanapambana simama na pambana na changamoto hizoHabarini ndugu, maisha yana changamoto sana kuna wakati akili inachoka na kujiuliza ni lini hizi changamoto zitaisha.
Naandika hii sms huku moyo wangu ukivuja damu na Machozi yakinilenga.
Sioni pa kushika I feel disappointed, kwa anayeweza naomba anisaidie ili niweze kusonga mbele.
HujajibuOk asante sana mkuu
Sio fair mkuu sio wote watahisi unatania jamaa kama amelemewa tunaweza mpotezaWe ni me au ke? Kama ke njoo nikuoe kama me kajiue tu mkuu
Anajua natania ni mwananguSio fair mkuu sio wote watahisi unatania jamaa kama amelemewa tunaweza mpoteza
Hii sio sawa kabisa, kama huwezi kumsaidia mtu kwani ni lazima uandike?We ni me au ke? Kama ke njoo nikuoe kama me kajiue tu mkuu
Mimi ni graduate napatikana kilimanjaro, Nilikuwa nafanya biashara ya kutoa samaki Mwanza - Kilimanjaro changamoto ni kwamba yule ambaye nilikuwa namtumia hela ameamua kutoweka na pesa, Napiga simu yake bila mafanikio hapatikani for 5weeks nowmkuu kwanza unachangamoto gani unazopitia na je unaujuzi gani? rasmi au usio rasmi? Pia unapatikana wapi? Hivyo vitu vya muhimu ili mtu ajue anakusaidiaje maana naamini wengi watapitia