NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,232
nadhani kabla hujaingia ndoani na huyu bibie tafakari sana! isije kuonekana ww unalazimisha penzi, kumbe yy hakuhitaji. hapo ukisha muoa, ni full vitimbi nyumbani.Mkuu natamani sana kufunga nae ndoa but nna changamoto lukuki,moja uchumi wangu hauko vizuri na mwenzangu anataka nipeleke mahari ndefu kwao,so sina ajira ya uhakika ya kuingiza kipato cha kupata milioni ya mahari .
Dini ni kikwazo kingine,hataki kubadili ingawa mi nimeamua mbeleni nikipata hiyo mahari anayotaka nipeleke kwao ntabadili tu Dini
Nikiwa na wazo niende nikajitambulishe kwao rasmi kwa hiki kidogo ninachopata naona mwenzangu ushirikiano ni zero
So kuna masuala ukiyaangalia kiundani utagundua sina hatia ila kutokana na malezi aliyopata mwenzangu kila kitu ana puuza na kuleta dharau juu
lakini vilevile, kabla ya maamuzi yeyote; ongea naye kwa kina ili kama ndoa hakuna muachane kwa amani mlee mwanenu vizuri!
Mungu yu mwema atakuvusha!