Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,321
- 115,321
Nakusalimu tu bestHahahaaaa. Duuh. Ndio yeye best.
Good adviceKuzaliwa na mtu is iwe sababu ya wewe kujikunja mpaka ukalipe mahari na kubadili dini. Kama maelewano yenu si mazuri unafikiri mtoto atakua na raha kwenye nyumba isiyo na furaha?
Mimi kheri muanze kuandaa utaratibu wa kumlea mtoto wenu mkiwa na amani japo hamuishi pamoja
factWewe ndo unazingua. Mahusiano miaka sita na mna mtt ila hutaki kuoa! Wapishe waoaji maana wewe unamzeesha tu binti wa watu.
basi hakupendi huyo angalia mbele harakMkuu natamani sana kufunga nae ndoa but nna changamoto lukuki,moja uchumi wangu hauko vizuri na mwenzangu anataka nipeleke mahari ndefu kwao,so sina ajira ya uhakika ya kuingiza kipato cha kupata milioni ya mahari .
Dini ni kikwazo kingine,hataki kubadili ingawa mi nimeamua mbeleni nikipata hiyo mahari anayotaka nipeleke kwao ntabadili tu Dini
Nikiwa na wazo niende nikajitambulishe kwao rasmi kwa hiki kidogo ninachopata naona mwenzangu ushirikiano ni zero
So kuna masuala ukiyaangalia kiundani utagundua sina hatia ila kutokana na malezi aliyopata mwenzangu kila kitu ana puuza na kuleta dharau juu
Suala la kumegwa amegwe tu ,coz hata Mimi namega ,ninachowaza saa hivi ni kudeal na mwanangu yeye aendelee na mambo yakeHuku watu wanammegea tu
Ndiyo hivyo vitu vingine mpaka unacheka kama mazuriHuku watu wanammegea tu
Chukua mwanao ,mpe ni mkubwa wako ,au Sista wako huduma zote peleka huko au kaa nae mwenyewe,ili yy aendelee kumegwa na wewe umege,kubwa mtoto asomeSuala la kumegwa amegwe tu ,coz hata Mimi namega ,ninachowaza saa hivi ni kudeal na mwanangu yeye aendelee na mambo yake
Hapo hapo unatafuta mahari mmmmm hayaSuala la kumegwa amegwe tu ,coz hata Mimi namega ,ninachowaza saa hivi ni kudeal na mwanangu yeye aendelee na mambo yake
nitamjuza akirudi home usiwe na wasiwas mpenz
Ewaaaaa.nitamjuza akirudi home usiwe na wasiwas mpenz
Mapenzi yanauma lkn nakuomba ujikaze. Muda huponyaNtafuata ushauri wako ,ni kweli bora nikae kimya ntazoea na kumsahau
Kiukweli kadri Siku zinavyokwenda mbele ananitoka moyoni,nawaza hiyo mahari bora nifungue biashara tu hela ipatikane imhudumie tu mwananguHapo hapo unatafuta mahari mmmmm haya
Pole Sana'a!!Salaam wanaMMU
Huyu mwanamke anataka kunifanya mi bwege,miaka ya nyuma mawasiliano yetu yalikua mazuri haipiti Siku au masaa kadhaa pasipo kuwasiliana
Baada ya kuzaa nae mtoto na yeye kupata kazi taratibuuu mawasiliano yakaanza kupungua
Hajui kupiga simu tena
Hajui kutuma meseji tena
Nisipomtafuta basi imetoka hiyo hawezi kunitafuta
Nikiendelea kukaa kimya anaanza kulalamika nashindwa kumpigia simu kujua hali ya mtoto
Nami namuuliza "kwani wewe huna haki ya kunipigia simu au kunitumia meseji kunipa maendeleo ya mtoto hadi nianze Mimi kufanya hivyo"
Sometimes/Mara nyingi nikimpigia simu kupokea kwa shida,au atampa mtoto aongee yeye hataki kuongea
In short nna mawasiliano mabovu sana na huyu mzazi mwenzangu/mchumba tupo in relation 6 years ,nimejaribu kuonesha umuhimu wa mawasiliano mazuri baina yetu ,but mwenzangu haoneashi kujali wala kubadilika na naona kaona hakuna umuhimu wa kuwasiliana na Mimi,labda tu pale anapokua na shida zake
Nimechoka kufanywa mtumwa wa mawasiliano na huyu mwanamke
Nipeni mbinu nini nifanye ili ajue mawasiliano ni kiungo muhimu katika mapenzi
Am tired
Sigara Kali
Asante sana mkuu kwa ushauri nzuriMapenzi yanauma lkn nakuomba ujikaze. Muda huponya
Weka nguvu kwa watoto wako. Utachopata watumie watoto. Ukipiga simu omba uongee na mwanao ukimaliza tulia.
Mwanamke akikuzidi kipato huwa wanadharau sana zaidi ya sana kwahiyo usihangaike na mwanamke. Ukitaka mtoto wa 3 mpige sound. Weka mimba. Ukishamaliza weka nguvu kwa watoto.
Japo mke haeleweki lkn nimefurahi watoto wako umewapata kwa mwanamke mmoja
Jambo lamaana kuna vitu vingine kukwama Mungu anakuwa anakwepusha navyo ila sie binadamu huwa wagumu tunaangalia ya mwilini, omba Mungu utapata jibu sahihiKiukweli kadri Siku zinavyokwenda mbele ananitoka moyoni,nawaza hiyo mahari bora nifungue biashara tu hela ipatikane imhudumie tu mwanangu
Nisaidie tu ndugu mchawi mkuuPole Sana'a!!
Naweza kukusaidia
Nimesubiri ahadi uliyoniahidi jana hadi sasa naona patupu.nitamjuza akirudi home usiwe na wasiwas mpenz