Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
nimekimbia jukwaa la siasa ni hatari, huko hapafai, kwamtu anaetaka kuwa hewani mdaote JF, hivyo mnikaribishe kwaupole, hasa (chuchuchu, tototo) wa humu,huenda wakapata bahati ya kupolomoshewa mapolomoko. asanteni sana.