Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,707
Nimekuwa na vijana wawili kwa wakati tofauti..........ila wote utulivu hamna, heri mtu mzima atanliwaza kuliko hwa vicheche
unakosea, huo umri uliotaja ni watu na ndoa zao,ukimpata mtu ambaye single katika umri huo ujue ni kicheche wa kutupwa....na suala la kusettle halipo mawazoni mwake....