LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ni dk kidogo kijana wa umri kati ya 16-17 alipogongwa na gari aina ya toyota Rv4 T 553 AVE eneo la Technical College Arusha na kupoteza maisha hapo hapo ni machungu kweli kweli lakini hayana budi kwani yameshatokea.
Huyu marehemu alikuwa anatokea upande wa juu kama kuelekea huko kusini yaani kwa wanaojua hapa ninapopazungumzia ni kwamba anaelekea kuliko pub ya Narok sasa kukawa na gari tajwa hapo juu inakuja na inaendeshwa na mama mmoja na kijana wake kwa ujumla ni kama anafundishwa mama gari na ndipo gari likamzidi nguvu huyu mama kwani alikuwa kwenye mwendo wa spidi kama 50 hivi na ndiyo hawa vijana kuhamaki gari karibu inawafikia na ndipo mmoja akamshtua marehemu naye akashindwa la kufanya na ndipo gari likamkandamzia kwenye mti na mauti ikamfika pale pale!
Kwa kifupi ndivyo ajali ilivyokuwa!
Picha ninazo lakini kimeo ninayotumia inashindwa kubandika nayo!
Bwana ametoa na Bwana ametwaa!
Huyu marehemu alikuwa anatokea upande wa juu kama kuelekea huko kusini yaani kwa wanaojua hapa ninapopazungumzia ni kwamba anaelekea kuliko pub ya Narok sasa kukawa na gari tajwa hapo juu inakuja na inaendeshwa na mama mmoja na kijana wake kwa ujumla ni kama anafundishwa mama gari na ndipo gari likamzidi nguvu huyu mama kwani alikuwa kwenye mwendo wa spidi kama 50 hivi na ndiyo hawa vijana kuhamaki gari karibu inawafikia na ndipo mmoja akamshtua marehemu naye akashindwa la kufanya na ndipo gari likamkandamzia kwenye mti na mauti ikamfika pale pale!
Kwa kifupi ndivyo ajali ilivyokuwa!
Picha ninazo lakini kimeo ninayotumia inashindwa kubandika nayo!
Bwana ametoa na Bwana ametwaa!