Nawashukuru kwa kunipokea katika JF.
Naamini kabisa ni mahali pa watu kupata msaada wa kimawazo,n.k.Nilikuwa natafuta ni wapi pa kusemea ,naona labda nianzie hapa naombeni ushauri.. sijui nianzeje.
Mimi nina mtoto mmoja.namtaunza mwenyewe tu kwa kila kitu, baba yake yupo ila anajifanya kama haoni na ana uwezo ,na mara ingine akikutana na marafiki zake anaanza kujisifia ..kwangu sioni tatizo ila niliamua baada ya kukaa muda mrefu sina mtu wa karibu wa kuongea nae nikapata boyfriend,mimi kwa kweli sielewi huyu (naweza kusema sio type yangu)sijui kanitokea wapi? najiuliza,Approach yake,utanashati kwa kweli nikaona nimepata mtu na anaongea kwa busara,
Nimekuwa na uhusiano nae kwa muda wa miezi kama 3 tu ila nimegundua tabia na mwenendo wake si mzuri hata kidogo,makucha yake yalianza kujitokeza pale nilipogundua ana mke anaishi nae,mke alinipigia na kuniambia tuonane mimi ni mke wa jamaa.Jamaa akanikatalia sana nisionane na mkewe nimegundua pia kwamba kwa mkewe yeye amejiweka ni mlokole pai amebadilisha kabila ,simjui ndugu yake hata mmoja ila ni marafiki tu .Jamani najuta mimi!!!
watu husema za mwizi ni arubaini ,tabia ingine ya huyu jamaa ni dhuluma sasa kaenda kumdhulumu mke wa mtu mwingine ndio yakaja mambo yote ya huyu jamani ni kwamba ameathirika siku nyingi sana! kuna mwanamke alifiwa na mume yeye alikuwa anatembea nae maana anapenda sana dezzo.haikutosha yupo mwingine amefariki mwisho wa mwezi wa tatu 2008 nae alizaa nae mtoto alifikisha umri wa 8 months.akafariki,(sio kwamb natunga jamani ni ya kweli na aliesimulia ni rafiki yake mpenzi na one of the inlaws wa huyu mwanamke aliefariki mwisho wa mwezi wa tatu),nilijiona mdogo kama piriton nilihisi kama moyo umeruka mapigo yake ,sio hayo tuu hapo anapoishi jamaa an mwanamke mwenye mtoto mchanga wa umri wa miezi 4,pia ametelekeza mke na watoto 4 wanateseka kweli,jamaa anchukua watoto wa shule tena wachafu wachafu akiwahonga sana ni 500.00!!akishavuruga anakutema anachukua mwengine ,jamani nimfanyeje ?sasa iv anaishi kam digidigi, kwa kuniogopa labda nitamshataki au chochote, anavyodai,mimi jamani ntaenda wapi nahisi nimeukwaa ntawaambiaje ndugu zangu??wazazi je? jamii ndio kabisa sijui nitaitazamaje ..nisaidieni naogopa kwenda kupima maana mpaka sasa sio siri naona mapigo ya moyo yanasimama kila saa.kazi naharibu,siwezi hata kula ,,jamani naombeni uashauri wenu, Najuta mimi.
Naamini kabisa ni mahali pa watu kupata msaada wa kimawazo,n.k.Nilikuwa natafuta ni wapi pa kusemea ,naona labda nianzie hapa naombeni ushauri.. sijui nianzeje.
Mimi nina mtoto mmoja.namtaunza mwenyewe tu kwa kila kitu, baba yake yupo ila anajifanya kama haoni na ana uwezo ,na mara ingine akikutana na marafiki zake anaanza kujisifia ..kwangu sioni tatizo ila niliamua baada ya kukaa muda mrefu sina mtu wa karibu wa kuongea nae nikapata boyfriend,mimi kwa kweli sielewi huyu (naweza kusema sio type yangu)sijui kanitokea wapi? najiuliza,Approach yake,utanashati kwa kweli nikaona nimepata mtu na anaongea kwa busara,
Nimekuwa na uhusiano nae kwa muda wa miezi kama 3 tu ila nimegundua tabia na mwenendo wake si mzuri hata kidogo,makucha yake yalianza kujitokeza pale nilipogundua ana mke anaishi nae,mke alinipigia na kuniambia tuonane mimi ni mke wa jamaa.Jamaa akanikatalia sana nisionane na mkewe nimegundua pia kwamba kwa mkewe yeye amejiweka ni mlokole pai amebadilisha kabila ,simjui ndugu yake hata mmoja ila ni marafiki tu .Jamani najuta mimi!!!
watu husema za mwizi ni arubaini ,tabia ingine ya huyu jamaa ni dhuluma sasa kaenda kumdhulumu mke wa mtu mwingine ndio yakaja mambo yote ya huyu jamani ni kwamba ameathirika siku nyingi sana! kuna mwanamke alifiwa na mume yeye alikuwa anatembea nae maana anapenda sana dezzo.haikutosha yupo mwingine amefariki mwisho wa mwezi wa tatu 2008 nae alizaa nae mtoto alifikisha umri wa 8 months.akafariki,(sio kwamb natunga jamani ni ya kweli na aliesimulia ni rafiki yake mpenzi na one of the inlaws wa huyu mwanamke aliefariki mwisho wa mwezi wa tatu),nilijiona mdogo kama piriton nilihisi kama moyo umeruka mapigo yake ,sio hayo tuu hapo anapoishi jamaa an mwanamke mwenye mtoto mchanga wa umri wa miezi 4,pia ametelekeza mke na watoto 4 wanateseka kweli,jamaa anchukua watoto wa shule tena wachafu wachafu akiwahonga sana ni 500.00!!akishavuruga anakutema anachukua mwengine ,jamani nimfanyeje ?sasa iv anaishi kam digidigi, kwa kuniogopa labda nitamshataki au chochote, anavyodai,mimi jamani ntaenda wapi nahisi nimeukwaa ntawaambiaje ndugu zangu??wazazi je? jamii ndio kabisa sijui nitaitazamaje ..nisaidieni naogopa kwenda kupima maana mpaka sasa sio siri naona mapigo ya moyo yanasimama kila saa.kazi naharibu,siwezi hata kula ,,jamani naombeni uashauri wenu, Najuta mimi.