Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
cha chai au cha chakula?
ivi kiporo cha asubui asubui ni CHAI AU CHAKULA?
cha chai au cha chakula?
yaaa utakaaje na mchumba miaka miwili eti kuna wanaume pembeni wanakutaka na wewe unawatosa?
ndo ivo ata kama umepata mti mmoja heshimu misitu
cha chai au cha chakula?
thx maaaaaaaa...u2 hap nw yr
dahh nashangaa watu yan wanajifanya mahakimu full kujaj as if wao hawadinyi nje au kabla ya ndoa....
akili za ki form 2 b ,mwanzo mwisho.....mtu limemtokea bnas bahat mbaya mpen ushauri sasa cha kujifanya msaidiz wa mungui kuhukumu yahuu...yan wananiboa izi pipo ni basi ......
niaje lakin?
NN ajambo?
Njia ipi aoneshwe zaidi ya kwenda kupima Kama hajaachiwa ukimwi? Kwani wazee wake walikuwa hawamfundi kuwa zinaa mbaya? Kwanza akapime halafu alee mimba yake ya uzinzi. Umsaidie nini hapo? Kamlee basi yeye na mimba yake. Afanye upupu halafu aitangazie dunia? Ndio hayo ya kunga'twa na mbwa ukatangaza kidonda.
Ahsante mpenzi. . .
Siunajua tena wabongo.Kazi kulaumu hata pasipo lawama.
Poa kabisa sema tulikumiss humu, sijui ulikua umefichwa wapi.
Hehehehe hajambo, bado anakoroma.
Bora kingekua cha chakula.
haa haa spatii picha mkoromo wake NN dahh...!!!!!!!!!!
Kwa hali kama hii hakyanani mtu unaeza jikuta unageuka al shabaab bila kupenda aisee! Unawatafuta wote alafu unawakata mbuutu zao,,, munisamee ila thats my wish kwa sababu sioni adhabu nyingine inayowafaa!!! Aaagrrrrrr
Hahahaha. . . we Rose hujatulia wewe. Lazima utakua umeenda shule ehhhh?
Kakondoo unahitaji sala ya kukuweka mbali na mijamaa ya aina hiyo. . . nione baadae.
wewe unaonaje? kuna uchumba wa miaka 2 kweli huo lazima uzae zinaaNI MDA GAN WA KUKAA NA mchumba?
ni haki kuwakubal wanaume wakikutongoza wakat una mchumba tayar?
kuheshimu misitu ni kwa kuwapa dudu?
Hahahah. . . alafu mi kichwa maji kweli. We najua umeenda shule Rose, nilitaka kuongelea mkoromo wa NN nikakoroga.shule nimeenda dada ...head masta wangu alikuwa NN
pia alinifundisha mwandiko na somo la dictionary..haha hha nimemmisi jaman......sijachambwa kitambo....:eyebrows:
Nashukuru sana The Boss itabidi nifanye hivyo ila ni rahisi mwanaume kukubali mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine?
Hawa watu sasa ni too much, lijamaa lina mke lakini bado tu linang'ang'ana huku na huko! Lilishindwa nini kuondoka mapema?? Tungekuwa tunawacharanga mapanga hawa wanabaki flat wasingeendelea kabisa!!! Dunia ingekuwa yangu mie watu kama hao wangeisoma namba!!!
duu....akuna kitu xpensive km UELEWA.BUSARA NA HEKIMA.....kwasababu vinamfanya mtoto mdogo akawa mkubwa na mtu mkubwa.mtumzima akaonekana km mtoto mdogo.
nawasilisha.
ulikuwa unawakataa kwani huyo alikuwa mumeo? ona sasas ungekuwa unae wa pembeni usingepata shida
usitukane misitu kwa ajili ya mti mmoja
I know kakondoo, wanatia hasira sana. Sema ndio hivyo tena wapo na wataendelea kuwepo, kazi kwetu kuwakwepa.