Nimechanganyikiwa mpaka nakitamani kifo nisaidieni nifanyeje mimi

Latifaa

JF-Expert Member
Jan 18, 2012
501
257
Naombezi mawazo yenu wadau wote mtakaosoma hii thred.

Nimekuwa na mpenzi wangu kwa muda mrefu kama miaka 2 hivi, nimekua nikijihishemu kwa muda mrefu sijawahi cheat hata siku moja kwa vile nilikuwa namuamini sana. siku zote alinionyesha karidhika na mimi mpaka kwa wazazi wangu nilimpeleka anajulikana kwetu tukiwa kwenye process za kutaka kuoana nimekuja kugundua alikua ananidanganya kwa muda wote huo kumbe ana mke kibaya zaidi nina ujauzito wake.

Naombeni ushauri wenye hekima nifanyeje na hii mimba, sijawahi kufanya abortion naninaogopa san maana najua athari zake nawaza sijuhi ninywe sumu ya panya nijiondoe duniani?
au nikae tuu nizae ila nisimshirikishe maana sitaki hata kumtia machoni nimemchukia chuki mbaya nasijamueleza nimegundua alikua ananidanganya maana naona ili niwe na amani ni mfute kwenye aliki yangu na sitaki kesi nayeye maana naona kayatia maisha yangu dosari kaniletea aibu ambayo sijawahi kuitegemea kwenye familia yangu.

Kingine kuna wanaume ambao wananipenda kwa muda mrefu nilikuwa siwataki kwaajili yake hata mpaka sasahivi wanaendelea sasa nafikiria nichague mmoja nimweleze ukweli kuwa nina ujauzito wa mtu mwingine? na je kuna mwanaume anayeweza kumpenda mshichana katika hali hii?

Naombeni mawazo yenu wadau wote
 
yes...mwambie huyo mwingine una mimba na umeshaachana na aliekupa mimba
that is onee step
polee saana
 
Pole mwaya.

Hauna haja ya kunywa sumu wala kutoa mimba kwasababu tu ni yake. Kaa chini jipange, futa mawasiliano nae uanze maisha yako upya. Na wala usimwambie u mjamzito asije akakuganda nao. . .
 
Nashukuru sana The Boss itabidi nifanye hivyo ila ni rahisi mwanaume kukubali mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine?
 
Pole mwaya.

Hauna haja ya kunywa sumu wala kutoa mimba kwasababu tu ni yake. Kaa chini jipange, futa mawasiliano nae uanze maisha yako upya. Na wala usimwambie u mjamzito asije akakuganda nao. . .
Ahsante Lizz nafuta mawasiliano naye ila anajua nina mimba,
 
Pole mwaya.

Hauna haja ya kunywa sumu wala kutoa mimba kwasababu tu ni yake. Kaa chini jipange, futa mawasiliano nae uanze maisha yako upya. Na wala usimwambie u mjamzito asije akakuganda nao. . .
hapa sijakuelewa Lizzy ,kivipi asimwambie mwenye mimba? Una maana unataka Latifa acheze kale kamchezo ka kutaifisha mtoto na kumpa u bin wa ujombani?sikubaliani na wewe katika hili,nashauri amwambie jamaa kuwa ana mimba yake lakini hataki mahusiano yao yaendelee ila watunze mimba pamoja in the best way possible.
Latifa,usijiue,mambo madogo sana haya,mi mwenyewe nshawafanyia wanawake madhambi kama haya mara kibao,walizaa na leo tuko marafiki tunalea.We tulia everything will be okay,time is the ultimate healer.
 
Nashukuru sana The Boss itabidi nifanye hivyo ila ni rahisi mwanaume kukubali mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine?

Inawezekana kuna rafiki yangu alishakubali ujauzito wa mtu, maadam kuwe na mapenzi ya kweli, na la muhimu huyo muhuni usimwambie kama una ujauzito wake kama alivyokushauri da lizzy.
 
hapa sijakuelewa Lizzy ,kivipi asimwambie mwenye mimba? Una maana unataka Latifa acheze kale kamchezo ka kutaifisha mtoto na kumpa u bin wa ujombani?sikubaliani na wewe katika hili,nashauri amwambie jamaa kuwa ana mimba yake lakini hataki mahusiano yao yaendelee ila watunze mimba pamoja in the best way possible.
Latifa,usijiue,mambo madogo sana haya,mi mwenyewe nshawafanyia wanawake madhambi kama haya mara kibao,walizaa na leo tuko marafiki tunalea.We tulia everything will be okay,time is the ultimate healer.

Acha bro kuna wanaume ving'ang'anizi, mpaka atamuharibia kitumbua chake kwa mwanaume mpya, huyo jamaa mpotezeee! mtose kimya kimya hakuna kumwambia wala nini!
 
hapa sijakuelewa Lizzy ,kivipi asimwambie mwenye mimba? Una maana unataka Latifa acheze kale kamchezo ka kutaifisha mtoto na kumpa u bin wa ujombani?sikubaliani na wewe katika hili,nashauri amwambie jamaa kuwa ana mimba yake lakini hataki mahusiano yao yaendelee ila watunze mimba pamoja in the best way possible.
Latifa,usijiue,mambo madogo sana haya,mi mwenyewe nshawafanyia wanawake madhambi kama haya mara kibao,walizaa na leo tuko marafiki tunalea.We tulia everything will be okay,time is the ultimate healer.
Kaaazi kweli kweli.
 
Futa mawasiliano na huyo shetani wala usitoe mimba zaa mtoto wako usimshirikishe kwa kitu chochote, wanaume wamaana wamejaa na hawakatai watoto usimuue mwanao kisa huyo pepo endelea na maisha kama kawaida wewe sio wa kwanza kufanyiwa hivyo.
 
Hebu tuliza akili!!

Jaribu kuwasiliana nae kama huwezi kulea mimba na huyo mtoto, mweleze msimamo wako kuhusu mahusiano yenu.kumbuka anaweza kuwa alikuwa anakupenda kweli ingawa ana mke na watoto, wekeni utaratibu wa kulea hiyo mimba na mtoto.

Pili, pumzika na endelea kulea hiyo mimba usifanye maamuzi ambayo utajuta maisha yako yote kila la kheri. Ingawa ni ngumu kuamini upo na mt miaka miwili na unategemea kuolewa nae na hujui kama ana mke, labda ulikuwa hutaki kuamini hadi uone.

Pole sana hilo halikufanyi kutoa uhai wako, mahospitalini watu wanaangaika kuongeza siku za kuishi.
 
Hakuna haja ya kunywa sumu ya panya! Duniani hapa jambo moja baya laweza tokea ili kufungua milango kwa mambo mema zaidi! Ni habari ya kusikitisha na ninakuonea huruma! Baada ya kujitoa kwa Bwana huyu kwa uaminifu mkubwa kakutenda kiasi hiki!! Nenda kwa huyo mwingine umweleze si kwa lengo la kutaka akuchukue, lengo lako liwe ni kumshirikisha mwombe ushauri ufanye nini na haya yaliyokukuta lengo lake ni kutaka aufahamu ukweli akiwa kama mtoa ushauri na si kama mtu anayetaka kubwagiwa zigo. Tafadhali sana usionyeshe hilo, Mpigie simu mara kwa mara na umshukuru kwa ushauri wake umelala vizuri! Trust me you will win his sympathy na in the end atakuchukua
 
Ahsante Lizz nafuta mawasiliano naye ila anajua nina mimba,
Sasa hapo hata kama hamtaki huyo mtoto waka hajali anaweza akamtumia kukutumia wewe au hata kuendelea kukuharibia maisha hivyo ni ngumu kukata mawasiliano nae. Nwy. . .pole sana.
 
nifanyeje na hii mimba, sijawahi kufanya abortion naninaogopa san maana najua athari zake
Kila kitu kina mwanzo dada Latifaa.
Hakuna mwenye uzoefu wa kufanya chochote bila kuanza kwanza.
Hii yaweza kuwa ndo mara yako ya kwanza!
Opportunity is an opportunity, take it.
I dont want to sound harsh lakini ni ukweli.
 
nifanyeje na hii mimba, sijawahi kufanya abortion naninaogopa san maana najua athari zake nawaza sijuhi ninywe sumu ya panya nijiondoe duniani?
Kama huogopi kufa huwezi kuogopa ku-abort!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom