Nimechaguliwa

Mbona jina la hapa Jf linafanana na yule mkuu wa pale UDSM,kama ni jina lako halisi huoni kama inaweza kuwa sababu ya wewe kuchaguliwa

Nilikuta tangazo hapa jamiiforums la kitengo cha uwezeshaji ofisi ya waziri mkuu young graduate entrepreneurship clinic ambapo training itafanyika udsm j3 ya tar13 mwezi huu, wamechagua watu 40. Nashukuru sana kwa aliyeweka lile tangazo, nitarudi kuwapa feedback kama hiyo kuna faida au tumepoteza muda na nguvu zetu.
.
 
Nilikuta tangazo hapa jamiiforums la kitengo cha uwezeshaji ofisi ya waziri mkuu young graduate entrepreneurship clinic ambapo training itafanyika udsm j3 ya tar13 mwezi huu, wamechagua watu 40. Nashukuru sana kwa aliyeweka lile tangazo, nitarudi kuwapa feedback kama hiyo kuna faida au tumepoteza muda na nguvu zetu.
.

unapashwa kuchangia jf kama shukrani zako mkuu sawa mkuu..
 
Nilikuta tangazo hapa jamiiforums la kitengo cha uwezeshaji ofisi ya waziri mkuu young graduate entrepreneurship clinic ambapo training itafanyika udsm j3 ya tar13 mwezi huu, wamechagua watu 40. Nashukuru sana kwa aliyeweka lile tangazo, nitarudi kuwapa feedback kama hiyo kuna faida au tumepoteza muda na nguvu zetu.
.

JF Noma aisee,
Huyu si ndo anaejiitaga ana PHD?
 
Nilikuta tangazo hapa jamiiforums la kitengo cha uwezeshaji ofisi ya waziri mkuu young graduate entrepreneurship clinic ambapo training itafanyika udsm j3 ya tar13 mwezi huu, wamechagua watu 40. Nashukuru sana kwa aliyeweka lile tangazo, nitarudi kuwapa feedback kama hiyo kuna faida au tumepoteza muda na nguvu zetu.
.

hongera sana mkuu
 
fransis mkandala,lisa heke,mchunguzi huru yote yeye huyu dogo

dah! unajisifu kwa ID hii huku unashukuru JF kwa ID ile! Jamani..

nakumbuka alishasema amesoma mpaka Phd halafu kakosa kazi.. jamaa majanga kweli huyu!
 
Back
Top Bottom