Nimechaguliwa UDOM Bcom in ISM

Badilisha coz mapema kijana bora ukasome B.A Fine Arts and design.

College of business studies Udom kwanza ina walimu wa hovyo hovyo
 
Badilisha coz mapema kijana bora ukasome B.A Fine Arts and design.

College of business studies Udom kwanza ina walimu wa hovyo hovyo
mwache usimdanganye mwenzako, kozi gani hizo za Fine Arts za Kaole huko Bagamoyo?
unathubutu kusema UDOM haina walimu wakati wanafaulu na wengi wanapata ajira?
 
Yameanza, dirisha la kubadilisha kozi lipo wazi nipo njia panda
Nijibu haya maswali na usiruke hata moja.

1. Alevo au diploma ulisoma kozi au kombi gani?

2. Unataka kubadili kwann?

3. Unataka kubadili uende kusoma nn?

Nijibu tuendelee.
 
Nimesoma EGM
Nataka nisome project planning
Huu ndio ushauri wangu!

Naimani unaishi bongo na unajua hali ya ajira ilivyo! Je unataka kwenye project planning ushawahi kusikia kazi za project planning kwa level ya barchelor?

Kwanza kuliko ubadili kozi kwenda project planning ni bora ubaki kwenye ISM!

Pili nimeangalia masomo ya ISM naona ni mchanganyiko wa IT/Computer Science na Accountancy!

Kwa sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa teknolojia, kazi nyingi zinabebwa na teknolojia! kwa kifupi ISM inakuandaa sio tu uwe mhasibu/businessman ila uwe mhasibu mwenye strong command ya IT!

So kama unajijua unapenda mambo ya IT nenda kasome ISM! to me i think its better kuliko project planning!

Tatu kama unaona hupendi mambo ya IT na kama kuna ulazima wa kubadili kozi nakushauri ukasome Accountancy! kwann nasema accountancy? well, angalia trend ya ajira za bongo, japo watu wanasema haina ajira ila ajira zake zinatoka iwe serikalini au private!

Na kama ukiamua kwenda na accountancy basi ukimaliza komaa upate CPA!!

In nutshel

Kama unataka kusoma Project planning na una mchongo nenda kasome! Ila kama ni mtoto wa mkulima think again!

ISM ni nzuri kwa kujiajiri na kuajiriwa kama ilivyo accountancy japo sijajua limitations zake zitakuaje wakati wa kuchukua CPA huko badae!

Na kama kuna ulazima wa kuchange kozi bora ukasome accountancy!

Huo ni mtazamo wangu!
 
Dogo hiyo course inahusiana na nini ?

Na outcome yake baada ya kuisoma inakuwaje ? Career wise unakuwa nani ? Na mchango wako kwenye industry unakuwaje ?

Vipi ushindani wake kwenye soko la ajira ?
 
Pili nimeangalia masomo ya ISM naona ni mchanganyiko wa IT/Computer Science na Accountancy!

Kwa sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa teknolojia, kazi nyingi zinabebwa na teknolojia! kwa kifupi ISM inakuandaa sio tu uwe mhasibu/businessman ila uwe mhasibu mwenye strong command ya IT!
Nina mashaka na package ya hii course. Kuna uwezekano ikatengeneza half-baked products kwenye sekta husika unless inazidi miaka mitatu kwenye usomaji wake
 
Back
Top Bottom