Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,251
- 34,198
Acha kumposha mwenzio, yani unafanisha mtu wa maabara na mfamasia?Apo bora ukasome Bmls muhimbil ni coz nzur pia hautokua na gharam za kuongezea kwenye ada
Acha kumposha mwenzio, yani unafanisha mtu wa maabara na mfamasia?Apo bora ukasome Bmls muhimbil ni coz nzur pia hautokua na gharam za kuongezea kwenye ada
NENDA KASOME PHARMACY (najua hujaelewa,rudia kusoma mpaka uelewe)..Habari zenu nimechaguliwa kusoma bachelor of medical lab general MUHAS pia nimechaguliwa bachelor of Pharmacy Bugando na Kampala University
Naombeni ushauri niende kusoma course gani?
Jaman ivi tarehe ya kuanza kufanya kukofemu ni linNENDA KASOME PHARMACY (najua hujaelewa,rudia kusoma mpaka uelewe)..
Kasome pharmacy mdogo wangu!
Pamoja na kuongea na wazazi pia kama akipata boom na akichanganya ela za wazazi hatakosa uwezo wa kuongezea hiyo ada! Akikimbilia huko kwenye maabara akimaliza ajiandae kusaza meno...Nakushauri nenda Pharmacy Bugando...(Lakini zingatia Ada kama una uwezo wa kuongezea, maana Ada ni around M 4...na Bodi inatoa Mkopo na kuacha umalizie sehemu kama Milioni 2 hivi au 1+ ndo utatakiwa kuongezea)...so, jiangalie...shauriana na Wazazi walezi kuhusiana na hilo.
Ikiwa Changamoto ni Hela kutoka kwa walezi...Nenda Muhas Lab...ni kozi nzuri sana pia...na Ada Muhas ni ndogo around Milion 1.5 hivi...inalipwa na Bodi yote.
Popote kati ya hizo utakapoenda, upo kwenye "Right track"...
(ila my Priority ya kwanza nzuri ni Pharm, ya pili Lab)
Hongera kwa kuchaguliwa Kozi nzuri.
Mimi niliapply chuo mwaka 2012 mambo ya mwaka huu siyajui.Jaman ivi tarehe ya kuanza kufanya kukofemu ni lin
Bas ungefanya kutulia waje wanaojuaMimi niliapply chuo mwaka 2012 mambo ya mwaka huu siyajui.
Wabongo bwana, tusingejibu ungesema tumekupotezea tumekujibu unasema tungekaa kimya.. sijui nani katuloga.Bas ungefanya kutulia waje wanaojua
Nenda bmls muhas... afu jaribu kufanya internal transfer uhamie pharmacy au nursing coz bmls ajira ni ngumu kidogo mdogo wangu!Habari,
Selection zimetoka ambapo nimechaguliwa kusomea Medical Laboratory General Muhas na Bachelor of Pharmacy Bugando na Kampala University je nikasome course ipi kati ya hizo?
Wewe unapenda ipi Kwanza?Habari,
Selection zimetoka ambapo nimechaguliwa kusomea Medical Laboratory General Muhas na Bachelor of Pharmacy Bugando na Kampala University je nikasome course ipi kati ya hizo?
Hawezi pata kaka muhas Hamna kibarua kigum kama kuhamia course iz MD,BPHARM,DDSNenda
Aende muhimbil alaf aombe kubadilish kuingia pharmacy kam ataona issue nikusom pharmacy
Mtoto wa nzi ni kwanini unakiponda sana chuo cha KampalaKampala usiende ...
Nenda pharmacy hutojutiaHabari,
Selection zimetoka ambapo nimechaguliwa kusomea Medical Laboratory General Muhas na Bachelor of Pharmacy Bugando na Kampala University je nikasome course ipi kati ya hizo?
Lakini kwa bachelor yake uwezi soma kama hauna physics mkuu naona wamachia kwa diploma tuuYaani sijui nilikuwa wapi kumshauri huyu dogo.
Anyway......unaiachaje BMLS tena ya muhas kwa pharmacy tena ya BUGANDO.?
Pharmacy nowdays imekuwa ya kila mtu mtaani vijana wapo wengi mno wa hii kada mpka inafika hatua unakosa cha kuongea.....nilikuwa nacheki kwa wadogo wa level ya diploma hata mwenye F ya physics anasoma hii pharmacy.....ni hatari watoto wanajazana lecture(nilitembelea chuo kimoja cha private watoto wapo 700 darasa moja wanasona pharmacy) na wakati huo mtaani kuna hawa watu kama wote(hii kada ni kongwe compare to
BMLS).
Deal nyingi za hawa jamaa wanapewa ADO huku mtaani na biashara zinaenda.
BMLS ni bora kwa sasa ukilinganisha na pharmacy.
Asante.
Uwongo huu ,unampoteza kijanaYaani sijui nilikuwa wapi kumshauri huyu dogo.
Anyway......unaiachaje BMLS tena ya muhas kwa pharmacy tena ya BUGANDO.?
Pharmacy nowdays imekuwa ya kila mtu mtaani vijana wapo wengi mno wa hii kada mpka inafika hatua unakosa cha kuongea.....nilikuwa nacheki kwa wadogo wa level ya diploma hata mwenye F ya physics anasoma hii pharmacy.....ni hatari watoto wanajazana lecture(nilitembelea chuo kimoja cha private watoto wapo 700 darasa moja wanasona pharmacy) na wakati huo mtaani kuna hawa watu kama wote(hii kada ni kongwe compare to
BMLS).
Deal nyingi za hawa jamaa wanapewa ADO huku mtaani na biashara zinaenda.
BMLS ni bora kwa sasa ukilinganisha na pharmacy.
Asante.
Weka hoja mkuu ndivyo tunaenda...........usiishi maisha ya 1930s na sisi tupo 2021😆😆😆Uwongo huu ,unampoteza kijana