upworkup
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 835
- 1,117
Sana mkuu. Ila kwa macho tu siyo kwa vitendoMkuu unapafahamu kaumba morogoro😅😅😅😅🤸🤸🤸🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mkuu. Ila kwa macho tu siyo kwa vitendoMkuu unapafahamu kaumba morogoro😅😅😅😅🤸🤸🤸🤸
mwana SUASO gani unapafahamu Kaumba kwa macho tu? Hapo kama wadada wa chuoni kwenu wanakusumbua nenda hapo kaumba au samaki samaki utanishukuru baadayeSana mkuu. Ila kwa macho tu siyo kwa vitendo
🏃🏃🏃🏃Basi wewe Ni Kama mimiSana mkuu. Ila kwa macho tu siyo kwa vitendo
General agriculture au animal science hizi ndio za kupambania hiyo food science hapana aisee.Sikuichagua mi niliweka option nyingi ya kwanza ilikua animal science ya ya pili general agriculture iyo ilikua ya mwisho ya tano kuchagua nilitaka kubadili so kabla sijafanya inabd nijue ikoje kiutaalam zaidi
HUPATI MKOPO MWAKA HUU!!!Habari za Leo wakuu,
Binafsi nimechaguliwa kusoma course inaitwa food science pale sua kwa mwaka wa kwanza wa masomo 2021/2022.
Ila nimetamani kupata kujuzwa mengi kuhusu hii course katika kila nyanja kama ifuatavyo:-,
#Ugumu wake?
#fursa zake kimasoko katika ajira?
#kujiajiri kwake?
#faida zake kiujumla ?
Na kama kuna ushauri mwingine hata wa kuhama kozi pia tushauriane tu .Karibuni wakuu naombeni msaada wa ushauri na mawazo juu ya hili
Hahaaha mdogo angu SENETA umenifata hadi huku kutembeza uchawiHUPATI MKOPO MWAKA HUU!!!
Shukuran kakaKaribu sua mkuu
Kwanini mkuu naomba ufafanuziGeneral agriculture au animal science hizi ndio za kupambania hiyo food science hapana aisee.
Nielekeze fresh mkuu kwanini umuhimu na uwanja wake ukojeKama wadau walivyochangia hapo juu, ajira zake Ni viwandani huko TBS, PEPSI NK .....ILA NINGEKUWA MIMI NINGESOMA GENERAL AGRICULTURE AU AGRONOMY KWANI NAONA KAMA ZINA UWANJA MPANA NA WA UHAKIKA SANA. Ila Mimi hapo nilisoma kakozi Fulani hivi kapo hapohapo Siri yangu. Ukienda wasalimie dark City, mauki na kaumba na samaki samaki.
Mdanganye!!!!!Ungeshirikisha kabla ushachaguliwa unataka mafunzo ,kikubwa tuza bumu lako ukihitimu masomo fungua biashara
Swali makin cio kujaza makoz top huku hujui yabadaeUlipoichagua wewe ulijua utakuwa nani ??