lelulelu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 401
- 366
Wakuu habari za muda,mm ni kijana ambae nilikuwa na ndoto za kuwa daktari tokea muda,maisha nikayaharakia baada ya kumaliza shule nikaoa ndoto zikapotea.
Nikajicjanganya na kazi za ufundi katika sehemu mbalimbali hasa mahotelini kwa muda usiopungua mwaka.
Mwanaka jana nikasema naenda kutimiza ndoto yangu nika apply nikapata chuo private, nimecjaguliwa kusoma Clinical Medicine ambayo nimefuatilia nimeambiwa nikikomaa na GPA ya 3.5 naweza kusoma MD moja kwa moja.
Sasa je, wakuu nijiandae vipi ili nifaulu?
Maana natishwa naambiwa ni kozi nguvu hasa kwa mm niloishia form four bora ingekuwa japo form six,ikoje hii wakubwa?
Nijiandae vipi ili kozi isiwe mogumu kwangu mwadau wangu?
Nikajicjanganya na kazi za ufundi katika sehemu mbalimbali hasa mahotelini kwa muda usiopungua mwaka.
Mwanaka jana nikasema naenda kutimiza ndoto yangu nika apply nikapata chuo private, nimecjaguliwa kusoma Clinical Medicine ambayo nimefuatilia nimeambiwa nikikomaa na GPA ya 3.5 naweza kusoma MD moja kwa moja.
Sasa je, wakuu nijiandae vipi ili nifaulu?
Maana natishwa naambiwa ni kozi nguvu hasa kwa mm niloishia form four bora ingekuwa japo form six,ikoje hii wakubwa?
Nijiandae vipi ili kozi isiwe mogumu kwangu mwadau wangu?