Nimechaguliwa kujiunga chuo kikuu Huria kozi ya Sheria akupuo ya Julai 2019

eSIM

Senior Member
Sep 27, 2018
167
135
Mimi ni mtumishi wa Umma mwenye shahada yangu, nimeamua kujiunga na chuo kikuu huria kusomea shahada nyingine ya sheria. Nimechaguliwa kwenye mkupuo huu wa Julai.

Naomba kama kuna mtu mwenye kujua lolote kuhusu Msimbo wa Sheria haswa hapo chuo kikuu huria anisaidie chochote kimawazo.

Je ni vyema kujiunga Kinondoni campus au makao makuu campus kwa mimi mkazi wa jirani na hizo campus mbili.

Kama kuna group la 2018/2019 naomba nijuzwe ili nijiunge nikutane na wenzangu.

Nashukuru kwa mawazo na ushauri wenu.
 
Kwa sasa hakun campus ya makao makuu, rather pale pembeni ya OUT Makao makuu ilipokuwa Biafra sec, ndio ilipo Kinondoni Regional Centre. So, kama uko Kinondoni au wilaya ya Ubungo, utashauriwa ukajisajili hapo.
 
Mimi ni mtumishi wa Umma mwenye shahada yangu, nimeamua kujiunga na chuo kikuu huria kusomea shahada nyingine ya sheria. Nimechaguliwa kwenye mkupuo huu wa Julai.

Naomba kama kuna mtu mwenye kujua lolote kuhusu Msimbo wa Sheria haswa hapo chuo kikuu huria anisaidie chochote kimawazo.

Je ni vyema kujiunga Kinondoni campus au makao makuu campus kwa mimi mkazi wa jirani na hizo campus mbili.

Kama kuna group la 2018/2019 naomba nijuzwe ili nijiunge nikutane na wenzangu.

Nashukuru kwa mawazo na ushauri wenu.
Mkuu ulifanikisha tupeane mrejesho.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom