We nenda nao taratibu tu...ukienda na speed kali watakumaliza :violin:Mkuu watoto wameng'ang'ania vibaya mno.Mkuu goroli zitaweza kufanya kazi kikamilifu?
toka nao nenda mahali kisha nirushie namba yako nikupigie kukuita kwenye dili ya pesa hapo unawambia kabisa kuwa unakwenda kwenye kaz hivyo inabidi uwaache wewe, utapana basi kwenda kukaa eneo lolote wao wataondoka, hakikisha umewatoa hapao nyumbani kwako, na ufunge mlango wako. utawaaachia njiani.
kama hao ni wanawake kweli hapo huna hata mmoja .ila kama ni vilaza watabaki
Sijisifii ndo hali halisi Smile.Ukisema mi machangu ,a BIG No.nawafahamu wote vizuri
Afu hicho ndicho nilichokomaa nacho hadi sasa,kwamba siwezi kuamua
Sipati picha umekaaje nao hapo halafu wewe uko busy JF.....ina maana wao wanapiga story zao?walikua wanajuana toka mwanzo?hii kaliii aiseee kama haujatutengeneza lakini.
aya bwananshaapply hii tekiniki kwa gals ving'ang'nizi, jaribu hii mkuu kama wakikubali kutoka nje