Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Yaani sana. Hapa umesema kweli. Wao wamezaa nje .Ila mwanamke kuzaa nje ni kama kaua vile.Baada ya kusoma comments za huu uzi nimegundua kuwa wanaume ni maselfish kupindukia. Naomba niwe noted siko hapa kumtetea huyu mwanamke infact mko busy mnamshauri huyu jamaa mwenzenu kafinyiwa kwa ndani hana mpango wa kumfukuza huyu mwanamke angekuwa ana mpango asingekuja kuuliza humu ni vitendo tu dhidi ya maneno.
Ok mimi naangalia wanaume mlivyong'aka humu aisee. Yani kati yenu mliocomment humu mkute nusu mna watoto wa nje ya ndoa (kwa wale married men) na mmewaleta nyumbani wake zenu wawalee. Na wengine michepuko mmeijengea nyumba, na kuinunulia magari in the name of utamu. Halafu wake zenu wanaganga njaa tu na watoto wenu wanaishi under-standard life ukilinganisha na kipato chako. Pesa zenu msowekeza kwenye familia zenu mko busy kuhonga kisa puthee inafinyia kwa ndani.
Mmeumia, wengine mna hasira kweli. Sasa ndo muone jinsi wanawake huwa wanajisikia. Wanaume mliofadhaika na hili suala mjirekebishe na nyinyi msiumize wake zenu. Muwaheshimu na kuwapenda. Msijikute nyie ndo mna nyege mshindo, wanawake wawe watakatifu kisa we ndo mwanaume. Mbadilike au la...mambo kama haya ndo kwanza yanaanza hayataisha. Mtapata mnayostahili.
#stakibakahehekwenyecommentyangu#