Magezi bugaga
Senior Member
- Jul 7, 2021
- 146
- 158
Tofari kama zimechomwa na waliokanda udongo walikanda vizuri kuhusu kuaribika akunaHongera sana,sasa kama tofali za tope ukiziacha bila kuuezeka si boma litaharibika? Kwanini usipaue na kupiga plasta nje ndio ukapumzika?