Good! İla umrlrkosea kitu hapo, unalenga kuuza kipindi cha sikukuu lakini kuku wadogo! Sikukuu hawalagi kuku wadogo hula kuku kamili.Kuwafungia kuku ktk uzio maana yake watakuwa hawashibi na wewe ndio itabidi ufidie chakula.Hapo itabidi uwe na ng'ombe ili kuvutia wadudu.Baada ya safari ya muda mrefu wa kujibana matumizi nimefanikiwa kujenga baada pembezoni mwa nyumba yetu lenye eneo kubwa la uzio wa matofali. Nimeanza kwa kununua kuku wa kienyeji wadogo wa miezi miwili na mitatu 100 nategemea kuwa na majogoo 20 na wanaotaga 70. Malengo niliojiwekea ni kuku 50 watage kwa awamu mbili kwa mwaka huu. Kila kuku awe na vifaranga 6 kwa awamu moja, hivyo kwa awamu mbili kila kuku nategemea awe na watoto 12 nikizidisha na kuku 50 napata kuku 60 ambayo nitauza kwa Tsh 6000 kwani sitangoja wawe wakubwa sana. Hivyo kwa mwaka huu natarajia kukusanya Tsh 3000000. Soko langu limelenga sikukuu mbili kubwa. Yaani Eid na Christmas. Mungu nisaidie nifanikiwe malengo yangu. Naombeni ushauri, maoni na pia nikosolewe kama ninakosea.
Pia hela ya kununulia chakula na dawa nimeshaandaa angalau kila mwezi laki moja kwani ni kuku wa kienyeji ambao wanakula pumba tu.
Niko Muheza Tanga
Sent using Jamii Forums mobile app
uza ulivyonavyo upate mtajiNahitaji kufuga ila uo mtaji sina. je nifanyaje namim nitimize malengo kupitia ufugaji wa kuku? Tafadhali nijuze
Nicheki utapata 0713 071 701wandugu salaam
wapi nitapataa mbegu nzuzi za kuku wa kienyeji, hasa wakiwa chotara wanaotoa nyama ya kunona na mayai mazuri na mengi.
asante.
Hhhhhhhhhhhkweli elimu bado sana inahitajika Tanzania!Yani mtu hata kuuliza swali hawezi!