JF ni kioo mkuu,haupindishwi ukweli! Kama unapenda kusikia unayoyapenda tu hapa sio mkuu.Clouds wameteleza sana, hivi karibuni naona wameanza kujirudi taratibu.tuliwaambia watafanikiwa kupitia watanzania na sio kundi la wana ccm tu! Chuki mitaani kwa hii radio zilikuwa zimeanza kupitiliza na huo ukweli hata wao wameugundua! Tutafika tu wakuu!Hata tupindishe vipi lakini ukweli unabaki palepale ni miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika, kwa hili naanza rasmi kuikubali hii redio, uzalendo ndio huo bana, Big Up kwa hili inapendeza.
Mbona hueleweki be straight wameteleza vipi na wameanza kujirudi vipi.JF ni kioo mkuu,haupindishwi ukweli! Kama unapenda kusikia unayoyapenda tu hapa sio mkuu.Clouds wameteleza sana, hivi karibuni naona wameanza kujirudi taratibu.tuliwaambia watafanikiwa kupitia watanzania na sio kundi la wana ccm tu! Chuki mitaani kwa hii radio zilikuwa zimeanza kupitiliza na huo ukweli hata wao wameugundua! Tutafika tu wakuu!
Hata tupindishe vipi lakini ukweli unabaki palepale ni miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika, kwa hili naanza rasmi kuikubali hii redio, uzalendo ndio huo bana, Big Up kwa hili inapendeza.
Mkuu kama ni msomaji mzuri wa Jf utanielewa kama unataka kuufanya moyo mgumu sawa.ila najua Clouds watabadilika sana na mapinduzi yanaanza taratibu!Mbona hueleweki be straight wameteleza vipi na wameanza kujirudi vipi.
Kuna wengine hata kuitwa mtanganyika wanaona aibu kwa hiyo si bora tumpongeze anayethubutu kuutaja?Ni sawa na kukubali uwepo wa Mbingu (heaven) lakini ukaendelea kuwatenda mabaya wanadamu na kuita hayo mabaya ndo uchaji (devout). Uzalendo hauhesabiki kwa kuafiki/kukubali uwepo wa Tanganyika. Tanganyika ni Watanganyika!
Usipindishe thread yangu wanasema tunasherehekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika sasa wewe unasikiliza redio ipi. Tune redio Clouds hata sasa wanasema wanasherehekea miaka 12 ya redio Clouds na 50 ya Tanganyika.ila wanasema tanzania ni 50! While in real sense walipaswa kusema Tanganyika ni 50!
Mkuu kama ni msomaji mzuri wa Jf utanielewa kama unataka kuufanya moyo mgumu sawa.ila najua Clouds watabadilika sana na mapinduzi yanaanza taratibu!
Inawezekana mkuu ila tangazo lao kwa muda mrefu ilikuwa Tanzania! Wanabadilika!Usipindishe thread yangu wanasema tunasherehekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika sasa wewe unasikiliza redio ipi. Tune redio Clouds hata sasa wanasema wanasherehekea miaka 12 ya redio Clouds na 50 ya Tanganyika.
Hata tupindishe vipi lakini ukweli unabaki palepale ni miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika, kwa hili naanza rasmi kuikubali hii redio, uzalendo ndio huo bana, Big Up kwa hili inapendeza.
Wapo wengi yeye kaamua kuwataja clouds kama wewe ulivyomtaja Mtikila. Hakuna haja ya matusiWhat is clouds? Wtf! Mbona hujamsifia Mtikila kwa hili ambaye si tu anajiita Mtanganyika bali hupeperusha kabisa bendera ya Tanganyika.
Hata tupindishe vipi lakini ukweli unabaki palepale ni miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika, kwa hili naanza rasmi kuikubali hii redio, uzalendo ndio huo bana, Big Up kwa hili inapendeza.
Usipindishe thread yangu wanasema tunasherehekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika sasa wewe unasikiliza redio ipi. Tune redio Clouds hata sasa wanasema wanasherehekea miaka 12 ya redio Clouds na 50 ya Tanganyika.