Huyu hana lolote ni mchafu ukiwa unavaa boxer safi na kavu kila siku na kujipaka poda hali inaisha siku iyo iyoDuuu, polee mzee...
Inaonesha hali si nzuri, Nahisi ni fungus,
Huna PE? Ukiwa maeneo ya joto sana Epuka kusunda nguo nyingi Na za kubana huko chini kibiti...
Una fungus wewe na ukiendeleza ubishi hilo pumbu litakatika!Korodani zipo vizuri lakini baada ya masaa kadhaa nikizipikicha zinakuwa kama zina ukurutu hivi au jasho lililo gandia. Cha ajabu kwenye korodani zangu nikitoka kuoga tu nikazifuta nasikia kama zinanata nata. Sasa sijajua kama na wengine wote wapo hivyo?
Vipi kuhusu ibada?
Bili tatizo lilinikuta masika hii, nipo kijijini, milikua navuka maji ya kina kirefu sahiz ya korodani, aisee ilinisumhua mwez mzima,Korodani zipo vizuri lakini baada ya masaa kadhaa nikizipikicha zinakuwa kama zina ukurutu hivi au jasho lililo gandia. Cha ajabu kwenye korodani zangu nikitoka kuoga tu nikazifuta nasikia kama zinanata nata. Sasa sijajua kama na wengine wote wapo hivyo?
Nimeshangaa nimepitia komenti zote hakuna aliye kushauri kuhusu tiba za asili.Wadau mwenye kujua madhara endapo nitaogea sabuni ya Omo hasa katika korodani anijuze.
Korodani zangu zinatoa sana harufu nimeanza kuogea Omo baada ya sabuni nyingine zote kudunda kuanzia detol, protex na kadhalika...
Mimi zangu hazinuki......me nadhani anamaanisha harufu inasikika hadi kero, ni kama kikwapa kila mtu ana jasho lake lkn kuna mengine ni kero akikaa mahali akiondoka anabakiza harufu hata kama kaoga na nahisi ndio tatizo alilo nalo ila sentensi za kila mtu ananuka hio haipo...pengine na wewe una tatizo sema halijafika la jamaaHivi nitajie mwanamume yule ambaye Korod** zake hazinuki!!!, kwani wewe zako zina nukaje??-- kama kitu kilichooza au ???--
Halafu kumbuka humu kuna jinsia ya KE pia.