financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,094
- 40,614
Na inaonesha wewe ndiye umemfilisi mumeo wewe😏, mfariji na kumpa moyo apambane siku atakua financially stable tena.
Yani my love unapoteza time yako kumshauri shoga? Maana sehem zingine anasema anademu na anampelekea moto, ila kwenye uzi wa leo anasema yeye ni mke wa mtu.Na inaonesha wewe ndiye umemfilisi mumeo wewe, mfariji na kumpa moyo apambane siku atakua financially stable tena.
Hee kumbe napoteza nguvu zangu bure shenzi zako sexless😀Yani my love unapoteza time yako kumshauri shoga? Maana sehem zingine anasema anademu na anampelekea moto, ila kwenye uzi wa leo anasema yeye ni mke wa mtu.
Mfano soma huu uzi wake wa kitambo:
Nimemgegeda pekupeku, lakini harufu ya kondomu imetamalaki
Nina mpenzi demu ambaye kwa mujibu wa maelezo yake kwao ni geti kali na mbwa mkali. Mm sijawahi fika kwao. Imepita miezi 2 bila ya kumgegeda kwasabb nilikuwa na mizunguko ya kutafuta riziki sehemu mbalimbali. Juzi ndiyo tumeonana, na akanipa mpapa kwa bidii zote. Nami nilipiga mashine kweli...www.jamiiforums.com
Mbona hiyo ni obvious ni ngumu sana kukuta mwanamke anajifanya mwanaume.
For sure.Kabisa
Sasa hadi wa kiume kujifanya ana mume lazima kuna tatizo mahali
Daah.. siku zote najuaga ww Me, kumbe I was wrong!Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje?
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Hee kumbe napoteza nguvu zangu bure shenzi zako sexless
Jina lenyewe ni sexlessHee kumbe napoteza nguvu zangu bure shenzi zako sexless
Hawa hata shetani aliwashindwaAsije akamletea kifo Mume Kama aliyeuliwa na polisi na kibao kumgeukia Kuwa amekaidi amri halali . anayweshwa pombe na nani kama Mme amechalala!!??
Nenda kamtoe kafara Geita uko ili wewe uwe Tajiri..............Ufanyeje! Kwani hayo unayoyafanya huyaoni?
Huyu mleta mada si dume, ila nyie wanawake maslahi kwenu kwanza mengine ndio yanafuata
Mkuu samahani hyo Avatar yako ni kichwa au shina la mti?Mkuu kwani Mume wako anasemaje?