Nimeanza kulewa kwasababu nimemchoka mume wangu tangu alipofilisika


Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.

Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.

Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.

Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.

Nifanyeje?

ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.

Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Kwani hela za kulewea unazitoa wapi?
 
Jamaa alipigwa sana kuoa mwanamke type yako . Kuna watu niwakuwala tu nakuwaacha sio wakuoa . Tafuta mwingine mwenye pesa akuoe mwache jamaa apambanie watoto wake na maisha yake . Vijana tuwe makini sana kwenye kuoa. Kamwe usimuonyeshe maisha mazuri sana mwananke unayeitaji kumuoa ata kama unazo ili kupima uvumilivu.
 

Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.

Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.

Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.

Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.

Nifanyeje?

ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.

Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Kumbe pesa bado ipo kama unapata ya kunywa pombe mpaka unazima.
 
Jamaa alipigwa sana kuoa mwanamke type yako . Kuna watu niwakuwala tu nakuwaacha sio wakuoa . Tafuta mwingine mwenye pesa akuoe mwache jamaa apambanie watoto wake na maisha yake . Vijana tuwe makini sana kwenye kuoa. Kamwe usimuonyeshe maisha mazuri sana mwananke unayeitaji kumuoa ata kama unazo ili kupima uvumilivu.
Huyu ananogesha forum tu sidhani kama anamanisha.
 

Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.

Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.

Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.

Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.

Nifanyeje?

ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.

Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Badala ya kumpiga jeki, wewe unatumbua bar? Maisha haya!
 
Back
Top Bottom