NImeanza kukata tamaa

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,690
11,028
KWa miaka kama nane sasa napambana na kujifariji kwamba bongo inaaza kusimama, nikajipa moyo kwamba tutasonga mbele hasa baada ya slogan ya ari mpya nguvu mpya na kasi mpya

vilevile wamarekani na other first world wamejaribu sana kututengenezea mazingira ya ajira humuhumu nchini tena kwa kutushawishi kutokea makwao tulipokua "tunatafuta"

Nilipambana sana kwenye ile thread ya educated immigrants, bongo tambarare, etc. lakini naona kama gesi yangu inaisha

sioni dalili za nguvu za kusema kwamba tunasimika taratibu mpya za maisha na levels of efforts za watendaji wa serikali zinanivunja moyo!!!

Tuliahidiwa na "mtaalam JK tujiunge kwenye professional groups tupate platform --- trust me, hali ni ileile!!! even the groups zilizopo zinaenda ki-Freemasons

Naanza kutamani tena kupiga maboksi, kuangalia elevators, kupita kwenye barabara safe na kuepuka hasira za daraja la kigamboni, nililoona mchoro kwaka 2007,

I AM LOSING HOPES DESPITE ALL MY INDIVIDUAL EFFORTS NA KUKESHA KUJIPENDEKEZA KUFANYA KAZI.... TENA HILO NDIO LIMENIMALIZA KABISA KWANI NDIO NAONEKANA MBAYA




 
De Novo USITENDE HIYO DHAMBI YA KUKATA TAMAA!!!! mUNGU AKUPISHIE MBALI...
 
Ni kweli bht, do your part, thats all. Even Rome was not built in a day. Taratibu tutakuwa wengi tu wenye moyo na nchi hii. Ukiacha vacuum inajazwa na wageni toka EAC.
 
KUKATA TAMAA NI KIGONJWA GANI HICHO? Au ni ugonjwa mupiya maana sayari hii haichoki kuzua vigonjwa vya ajabu kila kukicha.NDUGU CHONDE USIKATE TAMAA uendako siko utajitia kitanzi bure na hayupo wa kukuonea huruma. ACHA NA FUTA KABISA AHADI HEWA ULIZOLISHWA NA KUAMINISHWA. Sayari hii ni yako P A M B A N A!!! Mafanikio ni dhahiri kwako! Kama upo shamba pasua ardhi ongeza akili zaidi nina IMANI UTAFANIKIWA TUU.
 
Ni kweli bht, do your part, thats all. Even Rome was not built in a day. Taratibu tutakuwa wengi tu wenye moyo na nchi hii. Ukiacha vacuum inajazwa na wageni toka EAC.

Swali la msingi... akishakata tamaa what next??
 
Ni kweli bht, do your part, thats all. Even Rome was not built in a day. Taratibu tutakuwa wengi tu wenye moyo na nchi hii. Ukiacha vacuum inajazwa na wageni toka EAC.

Thanks Mama Joe... Yote hayo ya kutia moyo nayatumia sana nadhani hata upiganaji wangu kuhusu bongo utakua umeusoma (japo kidogo), tatizo naona kama hali inakua ngumu kiasi cha kuona kila mzalendo ananunulika kwa kipande cha kanga

Kazi na biashara zimekua synonym na rushwa na ni narda sana kuona mtanzania anaye-embrace rationality na morality!!!

Imekua NCHI YA KITU KIDOGO
 
Inakatisha tamaa lakini tusikate tamaa kwani tuna wajibu wa kuitengeneza bongo kwa ajili ya kizazi kinachotufuata, tuendelee kupambana iko siku mambo yatajakaa sawa. Kukata tamaa ni kumruhusu adui yako kupata ushindi wa chee, usifanye hivyo tafuta njia mbadala ya mapambano.
 
De Novo hauko peke yako, so you efforts are not in vain. Iko siku watu wataamka wengi na kudai haki zao, kumbuka ukoloni ulivoisha watu kama Nyerere na degree zao walipoteza kazi, kufungwa itakuwa sie tuko kwenye viyoyozi tu. Katika kila safari tazama kulia na kushoto lazima kuna wenzio hujauliza tu. Nikiangalia job application watu wanakuja toka filipino, EAC ndo usiseme na wanakaa wafanyekazi hapa. Mtaani viwanja wananunua kama njugu, haya ardhi, business opportunity zinazochukuliwa na foreigners so kwanini mie niwe second citizen uko ugenini?
 
KWa miaka kama nane sasa napambana na kujifariji kwamba bongo inaaza kusimama, nikajipa moyo kwamba tutasonga mbele hasa baada ya slogan ya ari mpya nguvu mpya na kasi mpya

vilevile wamarekani na other first world wamejaribu sana kututengenezea mazingira ya ajira humuhumu nchini tena kwa kutushawishi kutokea makwao tulipokua "tunatafuta"

Nilipambana sana kwenye ile thread ya educated immigrants, bongo tambarare, etc. lakini naona kama gesi yangu inaisha

sioni dalili za nguvu za kusema kwamba tunasimika taratibu mpya za maisha na levels of efforts za watendaji wa serikali zinanivunja moyo!!!

Tuliahidiwa na "mtaalam JK tujiunge kwenye professional groups tupate platform --- trust me, hali ni ileile!!! even the groups zilizopo zinaenda ki-Freemasons

Naanza kutamani tena kupiga maboksi, kuangalia elevators, kupita kwenye barabara safe na kuepuka hasira za daraja la kigamboni, nililoona mchoro kwaka 2007,

I AM LOSING HOPES DESPITE ALL MY INDIVIDUAL EFFORTS NA KUKESHA KUJIPENDEKEZA KUFANYA KAZI.... TENA HILO NDIO LIMENIMALIZA KABISA KWANI NDIO NAONEKANA MBAYA


The best way to regain hope in this world is to die
 
Dah!homeboy de novo umenitisha kiaina.umeitisha na projekti yangu pia
 
KWa miaka kama nane sasa napambana na kujifariji kwamba bongo inaaza kusimama, nikajipa moyo kwamba tutasonga mbele hasa baada ya slogan ya ari mpya nguvu mpya na kasi mpya

vilevile wamarekani na other first world wamejaribu sana kututengenezea mazingira ya ajira humuhumu nchini tena kwa kutushawishi kutokea makwao tulipokua "tunatafuta"

Nilipambana sana kwenye ile thread ya educated immigrants, bongo tambarare, etc. lakini naona kama gesi yangu inaisha

sioni dalili za nguvu za kusema kwamba tunasimika taratibu mpya za maisha na levels of efforts za watendaji wa serikali zinanivunja moyo!!!

Tuliahidiwa na "mtaalam JK tujiunge kwenye professional groups tupate platform --- trust me, hali ni ileile!!! even the groups zilizopo zinaenda ki-Freemasons

Naanza kutamani tena kupiga maboksi, kuangalia elevators, kupita kwenye barabara safe na kuepuka hasira za daraja la kigamboni, nililoona mchoro kwaka 2007,

I AM LOSING HOPES DESPITE ALL MY INDIVIDUAL EFFORTS NA KUKESHA KUJIPENDEKEZA KUFANYA KAZI.... TENA HILO NDIO LIMENIMALIZA KABISA KWANI NDIO NAONEKANA MBAYA

Ndugu yangu DeNovo pole sana....mbona utakata tamaa sana pale uchaguzi utakapoisha na nyuso /serikali ileile itakuwa madarakani,I mean no change at all!!!!!Anyway sikio la kufa halisikii dawa.Acha tujipigie mabox kuliko kujiumiza vichwa bure.
 
De Novo hauko peke yako, so you efforts are not in vain. Iko siku watu wataamka wengi na kudai haki zao, kumbuka ukoloni ulivoisha watu kama Nyerere na degree zao walipoteza kazi, kufungwa itakuwa sie tuko kwenye viyoyozi tu. Katika kila safari tazama kulia na kushoto lazima kuna wenzio hujauliza tu. Nikiangalia job application watu wanakuja toka filipino, EAC ndo usiseme na wanakaa wafanyekazi hapa. Mtaani viwanja wananunua kama njugu, haya ardhi, business opportunity zinazochukuliwa na foreigners so kwanini mie niwe second citizen uko ugenini?
bado tuna taizo kubwa sana kwenye mfumo wetu Mama kitu ambacho kimepelekea hata mifumo yetu ya kufikiri ilemae, mimi sijakata tamaa lakini nimeanza kuchoka. Sasa sijui kati ya kuchoka na kukata tamaa ni ipi mbaya,
 
De Novo bra hapa sijakuelewa kabisa, please clarification zaidi

Namaanisha kwamba hivi viajira tunavyozungushia mjini vingi ni kampuni au organizations za first world, yaani ukiondoa bakhresa na serikali... ahata hizo ajira kwishnehi!!
 
Dah!homeboy de novo umenitisha kiaina.umeitisha na projekti yangu pia

Cousin, project yako iko palepale, ni kwamba natembea kuliko wale nzi wa CCM (kijani) ila wiki hii natua Dar hadi valentino

Hatuachi kitu kwenye sera yetu ya udugu na mahusiano...

tatizo langu liko kule ambapo tuna-politicize hadi uchumi, matokeo yake hakuna kinachoenda; yaani juzi pinda anashangaa mashangingi ya serikali, halafu chama chake kinanunua mara tatu yake!!! sh!t... yaama kama mnara wa babeli hii bongo
 
Kutegemea wanasiasa, 'serikali' ambazo in actual sense ni magenge ya mafioso and many other wrong institutions zitatatue matatizo yetu ya kiuchumi na kijamii ni sawa na kupanda chelewa ukitegemea utavuna mnazi.
 
Ndugu yangu DeNovo pole sana....mbona utakata tamaa sana pale uchaguzi utakapoisha na nyuso /serikali ileile itakuwa madarakani,I mean no change at all!!!!!Anyway sikio la kufa halisikii dawa.Acha tujipigie mabox kuliko kujiumiza vichwa bure.

Ndugu yangu mtamsusia nani hii njiii????? nani ataifanya TZ kuwa the best country to live??? bado ni sisi watz!!!! We M beba watever u have to beba but remember this is ur country and your responsibility!!!
 
Ndugu yangu DeNovo pole sana....mbona utakata tamaa sana pale uchaguzi utakapoisha na nyuso /serikali ileile itakuwa madarakani,I mean no change at all!!!!!Anyway sikio la kufa halisikii dawa.Acha tujipigie mabox kuliko kujiumiza vichwa bure.

Mkuu, wacha tu tupambane hivyo hivyo... unajua hata kama baba mzazi ni kichaa utaishia kuchoka kwa muda au kulia lakini ni lazima uhakikishe anaoga, anavaa, ananyolewa nywele na kulindwa hadi mungu atakapomchukua

Ngoja tuilee hii bongo yetu inayoharibiwa na sisi wenyewe
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom