araway
JF-Expert Member
- Sep 26, 2007
- 534
- 144
nimeanza kufuga kwa mara ya kwanza kuku wa kienyeji! kwa kuanza nimenunua kuku 9 kati ya hao jogoo ni moja ambaye namwona bado ndama . nina siku ya tatu tangia nianze na leo nimeamka nimeona kuku mmoja anapinda mgongo na anakuwa kazubaazubaa sasa sijui kama ndio kideri kimeanza! naomba mdaqu mwenye uzoefu na hawa wadudu anishauri ni dawa gani naweza kuwapa ili kunusuru hawa jamaa!