Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,909
- 13,476
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Choo hakina maji mkuu. Nachota naingia nayo na kuoga. Chooni ndio humo humo bafuniUsiwe unaogea chooni.
Halaf usiwe unaenda kuoga ukiwa umebeba ndoo ya maji.
Nadhan utanishukuru
Nishaweka mkuu funguaa.WeKA LINK
SIO HII
Babu siku hizi mbona choo na bafu kinakuwa sehemu moja.Kwanini unaogea chooni?
Hilo ni fundisho kwako kwamba unapaswa kuogea bafuni...
Kwani self juwa inakuwaje? Au mimi ndio sielewiKwanini unaogea chooni?
Hilo ni fundisho kwako kwamba unapaswa kuogea bafuni...
Basi ungesema umanguka bafuni.Babu siku hizi mbona choo na bafu kinakuwa sehemu moja.
Nimeteleza mama. Kwa kishindo kikubwa kabisa mimeanguka. Nikafikia kalio na ningekuwa mzembe ningevunja mkonoUlianguka bila kupingwa?
Jini mahaba tena😆😆😆 hapana mimi ni mcha Mungu jini hawezi nifwata.jini mahaba alitaka kufanya yake - una bahati sana kama kakukosa!