Hakuna madhara yeyote
Sababu ya kifo chooni, vyoo vyetu vingi ni vidogo au vyembamba sana Mtu anapodondoka chooni Kitu cha kwanza kujibamiza ukutani ni kichwa kutoka na balance inakuwa haipo ya kutanguliza mkono chini.
Kichwa kinakuwa sehem ya break.
Ukidondoka kwenye Ardhi au sakafu kazi ya mikono inaonekana inavyofanya kazi kuzuia mwili au kiungo chochote kugusa china.
Mkono unapenda kuwa wa kwanza kugusa chini
Chooni hiko Kitu akipo kichwa kitakuwa cha kwanza kugusa ukuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.