Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,604
Na godoro ulimwagia maji?
Mkuu mimi ilikuwa ikifika usiku nalichukia geto, nilikuwa nalala na tracksuti, soksi miguuni na sweta lenye kofia yaan kama ninja. Nilitumia dawa nikashindwa niliama geto nikauza samani zote kwa ninja mwingine.
Kunguni hawafuati uchafu wala sio dalili ya uchafu kama chawa au mende.Kunguni au "Bed Bugs"ni wadudu wasumbufu wasioambukiza ugonjwa na wapigao kambi kwenye hostels,mahotel,siti za tren,mabasi hata meli na mahospital.
Hawa wadudu, unawabeba kutokea masofa pendwa ya bar, daladala, bajaj, hata bodaboda unaweza kuwabeba, yaani ni very easy to transfer na a nightmare kuvunja nao undugu.hadi uchafu wako pia unakuja kutuambia
Hakuna raha kama kupambana na kunguni usiku!
Ni mwendo wa kuwabinya na kukung'uta shuka!
Geto linageuka kambi ya JKT!
Serena hamna huo ujingaKunguni hawafuati uchafu wala sio dalili ya uchafu kama chawa au mende.Kunguni au "Bed Bugs"ni wadudu wasumbufu wasioambukiza ugonjwa na wapigao kambi kwenye hostels,mahotel,siti za tren,mabasi hata meli na mahospital.
Wadudu hawa huhama na nguo,mabegi,mito nk from one place to another.
Wapigapo kambi mahali movements zao ni usiku na kumkosesha mlengwa usingizi pia kumuacha na uvimbe au muwasho mahali walipouma.
Huzaliana kwa kasi na shida nyingine ni kumuathiri mtu kisaikolojia.Imagine mtu amepanda basi halafu kunguni achomoke kwenye koti hadharani!
Tiba ni hizo za maji ya moto au mchanganyiko wa kemikali nyinginezo na sabuni,chumvi ama paraffins
Hata Kempsik na Serena unaweza kuwakuta wanatesa watu wengi mpaka wengine hudiriki kuchoma godoro au kuhama vyumba
You can google to find more informations about these notorious bugs
Unganisha na mendePanya na kunguni ni dalili kuu ya ufukara
Sheria za hao wadudu wakiwa wacheche wanajificha ili wazaliane baada ya apo kazi unayo kama kawaHawa wazee waliweka kambi chumbani kwangu, aisee sio watu wazuri yaani wanagawa dozi kwa ushirikiano alafu wana masaa ya kazi, wanapishana mida ya usiku yaani ukiamka manundu mwili mzima.
Yaani nilikuwa sina muda wa kuweka alarm maana huwezi pitiwa na usingizi ukiwa na hawa wadudu ndani kwako, ukifika saa kumi utaamka kitandani utakaa kwenye kochi kupumzika kwanza.
View attachment 1591388
Sasa siku nikawaamulia baada ya kusikia kuwa sumu inawafanya wanasinzia hawafi, nikaazima bonge la sufuria la kupikia pilau lile kwa mama ntilie hapa home, nikachemsha maji hadi yakachemka then nikayamwaga kila sehem iliyokuwa na makazi yao kuanzia chaga za kitanda hadi kitanda chenyewe mpaka godoro.
Kwa sasa mwezi huu sioni hata kitoto cha kunguni
Hujasafiri wewe wala hujui dunia ya hao wadudu.Hotel hufanya fumigation na hata kuuza bed and mattresses hali hiyo ikitokea.Serena hamna huo ujinga
https://www.google.com/url?sa=t&sou...BBAF&usg=AOvVaw1spQxRVt0Z4WuaqjhiPGJw&cf=1Hujasafiri wewe wala hujui dunia ya hao wadudu.Hotel hufanya fumigation na hata kuuza bed and mattresses hali hiyo ikitokea.
Ni wageni wasio na mualiko popote pale