Nimeangalia picha ya binti wa Mtuhumiwa Mohamed Ling'wenya inayosambaa, Watanzania tukubali tuna viongozi katili wasio na utu

... mnatamani kuona picha ya binti mdogo akidhalilika? Ajabu sana!
Kama picha ni too graphical unaweza kutoa maelezo yake kiaha sisi wazee wa connection tukajua tunaipataje.
.

Unasema picha inasambaa, hata hii hapa chini inasambaa pia.
Haya ipe maelezo
IMG-20220108-WA0048.jpg
 
Natamani hili bandiko alione Hangaya,Kipindi kile tulipiga sana kelele Kwa Mungu hatimaye Mungu alijibu maombi yetu!Hata hili atatujibu tu muda ndio utaongea!
 
Mbona Nyerere alisweka ndani watu na aliweza kukaa madarakani miaka 21? Na alikuwa anaenda kanisani kila siku.
Huu ni UONGO mwingine mkubwa,President Nyerere(rip)hakuwaweka wapinzani wake wa kisiasa jela,alichofanya aliwapa kitu kama house arrest na walikua na uhuru wa kuzungukwa na wapendwa wao(family)
 
Baba anajitolea kulinda Taifa, anafukuzwa kazi nakurejea Uraini. Anatafuta kazi yakumwezesha kulisha familia, Kwa kuwa hakufanikiwa kusoma sana na kwa kuzingatia ugumu wa Maisha uliopo na hili asiibe anaamua kuwa mlinzi anayelipwa ujira mdogo lengo alishe familia na kuepuka kuwa mwalifu. Anakamatwa kwa sababu tu amejitolea kumlinda mwanasiasa ambaye Kwetu tunaamini misimamo yake na ujenzi wake chama ni hatari kwa usalama wa Chama cha Mapinduzi.
HAYA YOTE YANAPELEKEA UONGOZI KUWA NA MIKOSI KILA KUKICHA
 
Hata somalia alshabab ilianza hivi hivi huku baadhi ya viongozi wa dini wakilitetea kundi hilo kuwa linasimamia misingi ya dini na sheria za kiisilam, tukija Msumbiji pia lile kundi la kigaidi lilianza hivi hivi mdogo mdogo huku baadhi ya viongozi wa serikali wakilipuuza kuwa ni kundi dogo tu lisilo na madhara hata kwa kata au wilaya moja ya mkoa wao. Lkn sasa hivi serikali inapambana kulitokomeza inashindikana hadi wamefikia hatua ya kuomba msaada nje wa kijeshi nk.

Kwahiyo mleta mada unaweza kuwa umeshavuta mpunga ili uje utetee unachotetea bila kujali athari inayoweza kutokea kwa taifa endapo watu wa aina ya unaowatetea watapata mwanya wa kufanya yale yanayofanyika kongo, msumbiji, somalia nk. Lkn serikali haiwezi ruhusu ujinga wa aina hiyo utokee kwenye ardhi yake kwa sababu ya kuogopa propaganda kama hizi za mleta mada. Moyo wa mtu msitu, hata Osama mwanzo mwanzo wengi hawakujua kuwa ni gaidi, ila apofanya aliyofanya ndo wengi wakaaza kuamini kuwa jamaa alikuwa ni mtu wa aina gani. Tanzania ya sasa kila kitu kinachukuliwa kisiasa, hata yale yanayohusu usalama wa nchi na wananchi kwa ujumla.
Kuumiza wasio na hatia kisa siasa au wanatishia shibe zenu kunakuaje ni kuhatarisha usalama wa Taifa.
Ungeseme usalama wa Taifa la tumboni ungeeleeweka zaidi.
 
Baba anajitolea kulinda Taifa, anafukuzwa kazi nakurejea Uraini. Anatafuta kazi yakumwezesha kulisha familia, Kwa kuwa hakufanikiwa kusoma sana na kwa kuzingatia ugumu wa Maisha uliopo na hili asiibe anaamua kuwa mlinzi anayelipwa ujira mdogo lengo alishe familia na kuepuka kuwa mwalifu. Anakamatwa kwa sababu tu amejitolea kumlinda mwanasiasa ambaye Kwetu tunaamini misimamo yake na ujenzi wake chama ni hatari kwa usalama wa Chama cha Mapinduzi.
Mbowe ataumiza watu wengi sana- halafu mijItu inamshangilia OH TUNA IMANI NA MBOWE
 
leo ndio mmeamka baada ya mbowe kuwa jela mnakuja mnaongea saana mitandaoni walipofungwa masheik mbona hamkusema kitu mwacheni mbowe alambe miaka 40 jela
 
Mbona Nyerere alisweka ndani watu na aliweza kukaa madarakani miaka 21? Na alikuwa anaenda kanisani kila siku.
Kwahiyo kama Nyerere alifanya ndio Kila anayekuja amuige ama? Kosa haliwez kuhararishwa kwa kufanya kosa nahisi ubongo wako utakuwa umejaa kamasi ndio maana una mawazo mgando.
 
Hata somalia alshabab ilianza hivi hivi huku baadhi ya viongozi wa dini wakilitetea kundi hilo kuwa linasimamia misingi ya dini na sheria za kiisilam, tukija Msumbiji pia lile kundi la kigaidi lilianza hivi hivi mdogo mdogo huku baadhi ya viongozi wa serikali wakilipuuza kuwa ni kundi dogo tu lisilo na madhara hata kwa kata au wilaya moja ya mkoa wao. Lkn sasa hivi serikali inapambana kulitokomeza inashindikana hadi wamefikia hatua ya kuomba msaada nje wa kijeshi nk.

Kwahiyo mleta mada unaweza kuwa umeshavuta mpunga ili uje utetee unachotetea bila kujali athari inayoweza kutokea kwa taifa endapo watu wa aina ya unaowatetea watapata mwanya wa kufanya yale yanayofanyika kongo, msumbiji, somalia nk. Lkn serikali haiwezi ruhusu ujinga wa aina hiyo utokee kwenye ardhi yake kwa sababu ya kuogopa propaganda kama hizi za mleta mada. Moyo wa mtu msitu, hata Osama mwanzo mwanzo wengi hawakujua kuwa ni gaidi, ila apofanya aliyofanya ndo wengi wakaaza kuamini kuwa jamaa alikuwa ni mtu wa aina gani. Tanzania ya sasa kila kitu kinachukuliwa kisiasa, hata yale yanayohusu usalama wa nchi na wananchi kwa ujumla.
Kwa akili zako chache unadhani kuna mtu anazaliwa akiwa gaidi.na haujiulizi chanzo cha hao magaidi ni nini.Nakukumbusha tu kua haki ndiyo inayoleta utulivu na amani.mengine jielimishe mwenyewe.
 
Baba anajitolea kulinda Taifa, anafukuzwa kazi nakurejea Uraini. Anatafuta kazi yakumwezesha kulisha familia, Kwa kuwa hakufanikiwa kusoma sana na kwa kuzingatia ugumu wa Maisha uliopo na hili asiibe anaamua kuwa mlinzi anayelipwa ujira mdogo lengo alishe familia na kuepuka kuwa mwalifu. Anakamatwa kwa sababu tu amejitolea kumlinda mwanasiasa ambaye Kwetu tunaamini misimamo yake na ujenzi wake chama ni hatari kwa usalama wa Chama cha Mapinduzi.

Anatokea mkristo/ muislam anayekwenda kwenye nyumba za ibada kila siku ya ibada anaelekeza walio chini yake wamkamate wamtese na kumfungulia kesi ya ugaidi. Wanafanya walivyoelekezwa na waliotumwa kufanya unyama huu wanajitokeza adharani mbele ya Jaji kueleza walivyoshiriki, wanaambiwa mnadanganya na uongo wenu ni huu na huu then Jaji anasema awakudanganya. Hawa wote Wana watoto, wanajua kuna kifo, Wana kuna kupoteza madaraka lakini wanafanya haya Kwa sababu wao Wana nguvu kuliko MUNGU

Mtoto mdogo anayepaswa kusoma anashuhudia baba yake mzazi akiwa jela bila hatia kisa anatafuta ada, anafika Hadi mahakamani kujionea ukweli wa kinachoendelea Kwa baba yake. Viongozi wale walioshiriki kutengeneza njama wanaona haya yote na pia viongozi wa Dini wanayaona haya lakini hakuna anayekemea wala kutoka kwenda Kwa watesi wa watanzania Hawa na kuwakumbusha madhara na kiburi cha madaraka.

Wao waliopata nafasi ya kuongozi wanapeana nafasi ikiwezekana familia zao kila mwanafamilia awe na sehemu yakutawala na wanarudi nyumbani usiku wanakaa na familia zao kumwomba MUNGU awalinde. Kila section wanatamani kuombewa na Kila hatua wanatamani MUNGU awalinde ila wanasau namna madaraka kwao yalivyowapa upofu.

Mambo haya yanaumiza sana, yanasikitisha, yanatia simanzi na kutufanya tujiulize ni nani anayepandikiza roho hii ya kikatili miyoyoni mwetu? Ni kwanini tumejaliwa viongozi wa jinsia zote wasio na huruma hata kwa watoto? Hii ni kesi Moja, wapo wangapi ambao watoto na familia zimesambaratika Kwa kuwekwa mahabusu au kufungwa bila hatia? Wapo wangapi wenye Madaraka wametesa na may be kuua lakini awajafikishwa kwenye haki badala yake wanateuliwa kila kukicha?

HUYU Binti ambaye picha yake inasambaa mitandaoni yawezekana ni Malaika anatuonyesha watawala wana roho gani, lakini labda ni walkup call Kwa watawala Kwamba mnapopambana na watu wazima mnatesa watoto. Viumbe hawa hawakuzaliwa kuteseka, Wana haki ya kuishi na kupata elimu. Hakuna Mtoto wetu anayeweza kusoma huku akijua baba yupo mahabusu kwa kesi za kisiasa. Fanyeni MENGINE yote lakini haya mateso kwa watoto wadogo yanaweza kutuletea dhoruba huko tuendako.

Mwenyenzi My zijaalie familia zinazopita mateso bila haki zi tamaa, wape Moyo Mkuu.
Kwa hiyo hata picha za mabinti ambao baba zao ni majambazi ziwe kigezo cha kuonea huruma watu?
 
Baba anajitolea kulinda Taifa, anafukuzwa kazi nakurejea Uraini. Anatafuta kazi yakumwezesha kulisha familia, Kwa kuwa hakufanikiwa kusoma sana na kwa kuzingatia ugumu wa Maisha uliopo na hili asiibe anaamua kuwa mlinzi anayelipwa ujira mdogo lengo alishe familia na kuepuka kuwa mwalifu. Anakamatwa kwa sababu tu amejitolea kumlinda mwanasiasa ambaye Kwetu tunaamini misimamo yake na ujenzi wake chama ni hatari kwa usalama wa Chama cha Mapinduzi.

Anatokea mkristo/ muislam anayekwenda kwenye nyumba za ibada kila siku ya ibada anaelekeza walio chini yake wamkamate wamtese na kumfungulia kesi ya ugaidi. Wanafanya walivyoelekezwa na waliotumwa kufanya unyama huu wanajitokeza adharani mbele ya Jaji kueleza walivyoshiriki, wanaambiwa mnadanganya na uongo wenu ni huu na huu then Jaji anasema awakudanganya. Hawa wote Wana watoto, wanajua kuna kifo, Wana kuna kupoteza madaraka lakini wanafanya haya Kwa sababu wao Wana nguvu kuliko MUNGU

Mtoto mdogo anayepaswa kusoma anashuhudia baba yake mzazi akiwa jela bila hatia kisa anatafuta ada, anafika Hadi mahakamani kujionea ukweli wa kinachoendelea Kwa baba yake. Viongozi wale walioshiriki kutengeneza njama wanaona haya yote na pia viongozi wa Dini wanayaona haya lakini hakuna anayekemea wala kutoka kwenda Kwa watesi wa watanzania Hawa na kuwakumbusha madhara na kiburi cha madaraka.

Wao waliopata nafasi ya kuongozi wanapeana nafasi ikiwezekana familia zao kila mwanafamilia awe na sehemu yakutawala na wanarudi nyumbani usiku wanakaa na familia zao kumwomba MUNGU awalinde. Kila section wanatamani kuombewa na Kila hatua wanatamani MUNGU awalinde ila wanasau namna madaraka kwao yalivyowapa upofu.

Mambo haya yanaumiza sana, yanasikitisha, yanatia simanzi na kutufanya tujiulize ni nani anayepandikiza roho hii ya kikatili miyoyoni mwetu? Ni kwanini tumejaliwa viongozi wa jinsia zote wasio na huruma hata kwa watoto? Hii ni kesi Moja, wapo wangapi ambao watoto na familia zimesambaratika Kwa kuwekwa mahabusu au kufungwa bila hatia? Wapo wangapi wenye Madaraka wametesa na may be kuua lakini awajafikishwa kwenye haki badala yake wanateuliwa kila kukicha?

HUYU Binti ambaye picha yake inasambaa mitandaoni yawezekana ni Malaika anatuonyesha watawala wana roho gani, lakini labda ni walkup call Kwa watawala Kwamba mnapopambana na watu wazima mnatesa watoto. Viumbe hawa hawakuzaliwa kuteseka, Wana haki ya kuishi na kupata elimu. Hakuna Mtoto wetu anayeweza kusoma huku akijua baba yupo mahabusu kwa kesi za kisiasa. Fanyeni MENGINE yote lakini haya mateso kwa watoto wadogo yanaweza kutuletea dhoruba huko tuendako.

Mwenyenzi My zijaalie familia zinazopita mateso bila haki zi tamaa, wape Moyo Mkuu.
Nchi yetu imetekwa na kusimamiwa na wasiojulikana,wanaweza kufanya lolote na hakuna wa kuwafanya chochote.Hakuna aliye salama:Siyo spika,waziri,mbunge,mwanaccm au mpinzani,mtumishi yeyote wa umma/binafsi,mkulima,mvuvi,mfugaji,mkwezi au mgema.Wananyakua yeyote,popote na kivyovyote bila kuzingatia sheria yoyote hapa Tanzania au mbinguni.
Inasikitisha zaidi unapobaini kwamba hawa Super Tanzanians walivyojipa kinga-Above any Laws and They are Untouchables.
We are all their preys!
 
Huyu mama anawezaje kujiita muislamu safi huku akijua haya anayowafanyia kina Mbowe na wenzake ni ukatili? Ndio maana huwa sishangai ninapoonabaadhi ya members wa humu JF wakidhihaki hizi dini tulizoletewa
Unataka aingilie muhimili wa mahakama?
 
Hata somalia alshabab ilianza hivi hivi huku baadhi ya viongozi wa dini wakilitetea kundi hilo kuwa linasimamia misingi ya dini na sheria za kiisilam, tukija Msumbiji pia lile kundi la kigaidi lilianza hivi hivi mdogo mdogo huku baadhi ya viongozi wa serikali wakilipuuza kuwa ni kundi dogo tu lisilo na madhara hata kwa kata au wilaya moja ya mkoa wao. Lkn sasa hivi serikali inapambana kulitokomeza inashindikana hadi wamefikia hatua ya kuomba msaada nje wa kijeshi nk.

Kwahiyo mleta mada unaweza kuwa umeshavuta mpunga ili uje utetee unachotetea bila kujali athari inayoweza kutokea kwa taifa endapo watu wa aina ya unaowatetea watapata mwanya wa kufanya yale yanayofanyika kongo, msumbiji, somalia nk. Lkn serikali haiwezi ruhusu ujinga wa aina hiyo utokee kwenye ardhi yake kwa sababu ya kuogopa propaganda kama hizi za mleta mada. Moyo wa mtu msitu, hata Osama mwanzo mwanzo wengi hawakujua kuwa ni gaidi, ila apofanya aliyofanya ndo wengi wakaaza kuamini kuwa jamaa alikuwa ni mtu wa aina gani. Tanzania ya sasa kila kitu kinachukuliwa kisiasa, hata yale yanayohusu usalama wa nchi na wananchi kwa ujumla.
Pale akili yote ikitoka kichwani na kuhamia tumboni, ndiyo huja na mawazo kama haya ya kwako.
 
Back
Top Bottom