- Thread starter
- #41
Kamwela hilo ni jina langu kaka/dada,siwezi kuficha jina kisha nikaamua kukupa namba yangu ya simu hasa wakati huu ambao simu zina usajili.Mh...inaonekana umechoka sana lakini mbona na wewe umejificha nyuma ya keyboard na jina lako lisilo halisi?