JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Hakuna cha Slaa wala Mbowe, wao wenyewe ni waoga, au umesahau lile tukio la Arusha. Mbowe na umri wake wote aliweza kuruka ukuta
Hahaha Kama ni kweli basi tuna longway to go na sio 2015 Kama ninavoamini. Swali kwanini polisi hawawaui wao wala kuwafunga? Ina maana kesi zote hizo Kama wanamakosa mbona hawafungwi? Ushauri Kama CDM hawawezi kuitisha maandamano basi waache kazi zao mpaka Iyo 2015-25-35-45 au 2055 ili kupunguza mauaji Haya. Naamini ni uoga na sio busara Kama wanavyotuaminisha.
By JIULIZE KWANZA
Kwi Kwi Kwi Labda aseme slaa au Mbowe ndio ataeleweka wewe unknown user utasubiria sana japo wapo wenye nia ya kukuunga mkono lakini Wana angalia bob we lianzishe ukipata watu 1000 basi Mimi nitachukua namba 1001