Nimeamua kuwa naye tu ingawa sina uhakika wa kuvumilia

markbusega

JF-Expert Member
Oct 12, 2015
826
846
Habari za wakati huu wakuu!

Ni hivi,baada kuona mshahara anaopata alipo ni wa kijungu jiko tulipatana na mchumba Wangu kwamba baada ya kufunga ndoa angehamia niliko
tuishi pamoja huku akifanya biashara ndogondogo ilimradi anapata chochote huku akisaka ajira gvt,
Sasa anaona aendelee na ajira yake tu alipo .sababu anayoto ni kwamba mshahara umeongezeka .yeye ni mwajiriwa katika sekta binafsi na tuko mikoa tofauti kufika sehemu alipo Mimi hunichukua siku mbili na Mimi uwezekano wa kuhama kumfuata ni Mdogo
Nina mwezi mmoja tu kila mwaka wa likizo yeye anaweza kupata miezi miwili kwa mwaka lakini ktk vipindi tofauti.

Yeye kuendelea na ajira yake kwa sababu alizotoa nakubaliana nazo sababu ndio malengo yake tangu akiwa chuo na pia anaweza kuwa msaada mambo yangu yakienda ndivyo sivyo ya Mungu mengi.tatizo ni long distance relationship.Naomba ushauri wenu ,au naomba tushare uzoefu wenu mmewezaje Ku cope na long distance relationship na wenza wenu wasiwasi Wangu mkubwa tutapateje mtoto?hata ule mchezo naupenda kuucheza hata kama ni kila siku naweza.

Naomba ushauri wadau tar ya ndoa ishapangwa ni mwezi ujao nasikuwa nimejiandaa kwa hali kama hii. Nawasilisha
 
Long distance relationship ni ngumu na inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kwa wahusika vinginevyo mtaishia kutengana. Jaribuni wote kuangalia uwezekano wa mmoja kuhamia aliko mwingine au kutafuta kazi alipo mmoja wenu. Vinginevyo uhusiano wenu hauna maisha marefu.
 
Habari za wakati huu wakuu!

Ni hivi,baada kuona mshahara anaopata alipo ni wa kijungu jiko tulipatana na mchumba Wangu kwamba baada ya kufunga ndoa angehamia niliko
tuishi pamoja huku akifanya biashara ndogondogo ilimradi anapata chochote huku akisaka ajira gvt,
Sasa anaona aendelee na ajira yake tu alipo .sababu anayoto ni kwamba mshahara umeongezeka .yeye ni mwajiriwa katika sekta binafsi na tuko mikoa tofauti kufika sehemu alipo Mimi hunichukua siku mbili na Mimi uwezekano wa kuhama kumfuata ni Mdogo
Nina mwezi mmoja tu kila mwaka wa likizo yeye anaweza kupata miezi miwili kwa mwaka lakini ktk vipindi tofauti.

Yeye kuendelea na ajira yake kwa sababu alizotoa nakubaliana nazo sababu ndio malengo yake tangu akiwa chuo na pia anaweza kuwa msaada mambo yangu yakienda ndivyo sivyo ya Mungu mengi.tatizo ni long distance relationship.Naomba ushauri wenu ,au naomba tushare uzoefu wenu mmewezaje Ku cope na long distance relationship na wenza wenu wasiwasi Wangu mkubwa tutapateje mtoto?hata ule mchezo naupenda kuucheza hata kama ni kila siku naweza.

Naomba ushauri wadau tar ya ndoa ishapangwa ni mwezi ujao nasikuwa nimejiandaa kwa hali kama hii. Nawasilisha

boss, hapo ni kujidanganya tuu....ndoa mke na mume under one roof. sasa kama wewe ulisha express feelings zako toka mwanzo kuwa uitaka muuishi pamoja akakubali na sasa anasema hawezi becoz kazi imenoga basi kaa ukijua kuwa huyo hayupo tayari kuwa mke. anataka kuolewa ilimradi kwa sababu society demands so.

na mwanawane umekuwa mkweli kuwa wewe unapenda kugegeda na ata ikiwezeka daily....long distance utachepuka tuu.
wewe kuwa mkweli kwake na mie ushauri wangu ni kwamba msifunge ndoa.
 
Ni vyema kama mtakaa chini myazungumze.
Endapo mnaingia kwenye ndoa ni lazima muhakikishe u speak the same language..
Ndoa ina changamoto sana..
Kama hyo ni ngumu kwa sasa italeta tabu badae..
Pia jaribu kumuondoa wasi wasi kama ni biashara muwe na capital na business plan ila vinginevyo nahis hayupo tayari kuwa dependant..
 
Acha kung'ang'ania uhusiano usio na afya?unataka kufa kwa presha?!acha uanaume bwege.
 
Long relationship au mm huyaita mapenz ya simu ni magumu asikuambie mtu. Mwanzo utavulimia but with time msije shangaa kuwa na watoto wa nje ya ndoa
 
Back
Top Bottom