chaliko
Senior Member
- Apr 1, 2019
- 180
- 802
Naomba kuwasalimu wote.
Binafsi kuanzia leo nImeamua kuwa MLA RUSHWA (Ya aina zote). Yaani yeyote atakaye jipendekeza kwangu nakula kichwa.
Japo nitakuwa makini Sana juu ya mazingira ya kuchukulia Rushwa.
Mbona wakubwa WANACHUKUA RUSHWA na wahasumbuliwi.
Mfano;
✓ Hivi mnadhani DAB anapata wapi pesa za kubadilisha magari kama nguo au kutoa ahadi mbalimbali kwa jamii?
> Anachukua RUSHWA kwa kuwatisha Wafanyabiashara wakubwa kuwa atawabambikizia kesi ya kuuza Madawa ya Kulevya.
✓ Hivi mnajua kwa nini ROSTAM ameanzisha kampuni ya Gesi na Mkubwa kaunga mkono wakati ni FISADI. Unajua kwa nini pia ndugu yake alikuwa amekamatwa kwa kufanya magendo lakini mahakama baada ya kumpata na hatia ikampa adhabu ya kulipa faini kiduchu?
> Alitoa Rushwa kwa CCM kwa kuwapatia Kampuni yake ya HABARI CO-OPERATION ( Wanamiliki pia Channel Ten na Magic FM) pamoja na kutoa ahadi ya Kumrudisha Mzee Lowasa CCM.
✓ Hivi unadhani kwa nini viongozi wa Upinzani baadhi waliunga mkono na kuhamia CCM?
> Walipewa Rushwa ya kurudishishiwa nyadhifa zao walizokuwa nazo awali na wengine Rushwa ya Kazi.
✓ Hivi mnadhani kwa nini wenye kesi za kuhujumu uchumi wanaachiwa?
> Wanatoa Rushwa kwa Serikali ili waachiwe huru. Si mmeona wachache waliotoa Rushwa wameachiwa.
Sasa wewe Askari, Daktari, Boss n.k unasubiri nini?
Kama mazingira yanaruhusu chukua chako mapema.
Shauri yako, Wahenga wanasema,
"MCHELEA MWANA KULIA HULIA YEYE"
Binafsi kuanzia leo nImeamua kuwa MLA RUSHWA (Ya aina zote). Yaani yeyote atakaye jipendekeza kwangu nakula kichwa.
Japo nitakuwa makini Sana juu ya mazingira ya kuchukulia Rushwa.
Mbona wakubwa WANACHUKUA RUSHWA na wahasumbuliwi.
Mfano;
✓ Hivi mnadhani DAB anapata wapi pesa za kubadilisha magari kama nguo au kutoa ahadi mbalimbali kwa jamii?
> Anachukua RUSHWA kwa kuwatisha Wafanyabiashara wakubwa kuwa atawabambikizia kesi ya kuuza Madawa ya Kulevya.
✓ Hivi mnajua kwa nini ROSTAM ameanzisha kampuni ya Gesi na Mkubwa kaunga mkono wakati ni FISADI. Unajua kwa nini pia ndugu yake alikuwa amekamatwa kwa kufanya magendo lakini mahakama baada ya kumpata na hatia ikampa adhabu ya kulipa faini kiduchu?
> Alitoa Rushwa kwa CCM kwa kuwapatia Kampuni yake ya HABARI CO-OPERATION ( Wanamiliki pia Channel Ten na Magic FM) pamoja na kutoa ahadi ya Kumrudisha Mzee Lowasa CCM.
✓ Hivi unadhani kwa nini viongozi wa Upinzani baadhi waliunga mkono na kuhamia CCM?
> Walipewa Rushwa ya kurudishishiwa nyadhifa zao walizokuwa nazo awali na wengine Rushwa ya Kazi.
✓ Hivi mnadhani kwa nini wenye kesi za kuhujumu uchumi wanaachiwa?
> Wanatoa Rushwa kwa Serikali ili waachiwe huru. Si mmeona wachache waliotoa Rushwa wameachiwa.
Sasa wewe Askari, Daktari, Boss n.k unasubiri nini?
Kama mazingira yanaruhusu chukua chako mapema.
Shauri yako, Wahenga wanasema,
"MCHELEA MWANA KULIA HULIA YEYE"