Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 562
- Thread starter
- #21
Nimefanya hayo out of confusion sioni mabadiliko na elewa unapokuwa unategemea kitu mambo yakawa kinyume unaweza fanya maamuzi yanayoweza shangaza kama haya hapa. kama ni kuongea na wife tumeongea sana kuitiana hata wazazi.
Mi sipendi ugomvi kugombana ovyo sipendi and that ndio njia nimeona sahihi kwangu. Lini tutaachana, tunategemea kufika wapi, future yake itakuwa vipi, ukichonga mzinga itakuwaje hayo ni mambo mengine ila mi naona bi afadhali kuliko kuzunguka huku na huko mitaani.
Mtaniona abuser ila potelea mbali hamwezi kujua ugumu wa mapito yangu.
Mi sipendi ugomvi kugombana ovyo sipendi and that ndio njia nimeona sahihi kwangu. Lini tutaachana, tunategemea kufika wapi, future yake itakuwa vipi, ukichonga mzinga itakuwaje hayo ni mambo mengine ila mi naona bi afadhali kuliko kuzunguka huku na huko mitaani.
Mtaniona abuser ila potelea mbali hamwezi kujua ugumu wa mapito yangu.