Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,758
- 156,810
Pasco kaka kuwa mkweli kuwa uliingia ccm sababu ni rahisi kufikia malengo yako ...kuwa mbunge kuliko kupitia chama kingine.Mkuu Kipenda roho , kiukweli kabisa maneno yako haya yanachoma!. Hebu tuambiane ukweli, kwa the political dynamics za siasa zetu, mtu unayetaka kuingia kwenye the game of politics, ni chama gani cha kujiunga nacho zaidi ya CCM?.
It's not fair chama chetu tawala kuita lichama, liCCM. Pia sio fair, wana CCM wote kuwaweka tenga moja na kuwaita madhalimu.
Yes ndani ya CCM kweli kuna baadhi ni madhalimu lakini pia kuna wema wengi tuu, hivyo kuwaita wote madhalimu, sio kuwatendea haki.
P
Na ulishawishika zaidi awamu iliyopita kwani ilikuwa ukipenya kura za maoni tayari umekamilisha ndoto zako.