Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 166
- 452
Habarini wapendwa..
Naishi Sinza Mori..
Nje ya nyumba yetu tuna Fremu, 5 ila moja ipo tupu.. Nilikuwa nataka kusafiri, nikawaza nikodishe nikirudi baada ya miaka 2nianze upya..
Lakini.. nimewaza nikasema kuna jambo naweza fanya, ikawa msaada kwa mtu na
ikiwa ata kuwa muaminifu, nitashare naye Capital tufanye biashara ila mimi sita kuwepo, ata simamia yeye.
Ni hivi.. kama unadhani una wazo bora la biashara ambayo inaweza kufanyika kwa uwazi na ikaleta faida .. utashare wazo lako hapa.. kisha atakaye pita.. tuta wasiliana nikupe frame, ilipo barabarani kabisa, na pia nita share na wewe only 2milion kama njia ya kuangali unawezaje kuweka uhalisia wa wazo lako katika matendo.. kam kweli wazo lako lita onekana kufanya kazi basi utakua umenipa
imani ya kuongeza mtaji kadiri muelekeo wa biashara utakavyo taka.
Haya karibuni... Kama mm ninavyo taka kumpa mtu iman yangu na moyo wangu unavyotaka kumpata hustler wa maisha .. naomba na wewe utakayr chaguliwa uwe na imani na mm na utimize tutakacho kubaliana..
Tuanze Challenge hapa.. leta wazo upate fremu na mtaji wa kuanzia wa 2milioni, Challenge yetu itaanza Leo tarehe 20 Sept mpaka tarehe 1 October mshindi atatangazwa. (10days)
Sharti.. Uwe na Kitambulisho cha Nida, na uwe n mtu mwaminifu wa kukudhamini ili ukizingua awajibishwe, uwe tayari kunikutanisha na Ndugu zako au nijue unapo ishi.
Asanteni.
Kuna aliyekuja dm hapa sasa hivi, akasema ana mawazo mawili ila hapendi kushare kwenye public,
Jibu hili nililompa, na mwingine mwenye wazo ila anaogopa naomba ufanye hivi,
Utashare na mimi dm wazo lako, ila kama nikikutangaza mshindi, itabidi nilipost hapa ili watu wajue aliyeshinda ameshinda kwa nini.. na kwa kuwa utakuwa mshindi unaenda kulitekeleza, itakuwa siyo case tena..maana utalitekeleza kwa ubora kuliko atakaye iga..
Haya karibuni
Naishi Sinza Mori..
Nje ya nyumba yetu tuna Fremu, 5 ila moja ipo tupu.. Nilikuwa nataka kusafiri, nikawaza nikodishe nikirudi baada ya miaka 2nianze upya..
Lakini.. nimewaza nikasema kuna jambo naweza fanya, ikawa msaada kwa mtu na
ikiwa ata kuwa muaminifu, nitashare naye Capital tufanye biashara ila mimi sita kuwepo, ata simamia yeye.
Ni hivi.. kama unadhani una wazo bora la biashara ambayo inaweza kufanyika kwa uwazi na ikaleta faida .. utashare wazo lako hapa.. kisha atakaye pita.. tuta wasiliana nikupe frame, ilipo barabarani kabisa, na pia nita share na wewe only 2milion kama njia ya kuangali unawezaje kuweka uhalisia wa wazo lako katika matendo.. kam kweli wazo lako lita onekana kufanya kazi basi utakua umenipa
imani ya kuongeza mtaji kadiri muelekeo wa biashara utakavyo taka.
Haya karibuni... Kama mm ninavyo taka kumpa mtu iman yangu na moyo wangu unavyotaka kumpata hustler wa maisha .. naomba na wewe utakayr chaguliwa uwe na imani na mm na utimize tutakacho kubaliana..
Tuanze Challenge hapa.. leta wazo upate fremu na mtaji wa kuanzia wa 2milioni, Challenge yetu itaanza Leo tarehe 20 Sept mpaka tarehe 1 October mshindi atatangazwa. (10days)
Sharti.. Uwe na Kitambulisho cha Nida, na uwe n mtu mwaminifu wa kukudhamini ili ukizingua awajibishwe, uwe tayari kunikutanisha na Ndugu zako au nijue unapo ishi.
Asanteni.
Kuna aliyekuja dm hapa sasa hivi, akasema ana mawazo mawili ila hapendi kushare kwenye public,
Jibu hili nililompa, na mwingine mwenye wazo ila anaogopa naomba ufanye hivi,
Utashare na mimi dm wazo lako, ila kama nikikutangaza mshindi, itabidi nilipost hapa ili watu wajue aliyeshinda ameshinda kwa nini.. na kwa kuwa utakuwa mshindi unaenda kulitekeleza, itakuwa siyo case tena..maana utalitekeleza kwa ubora kuliko atakaye iga..
Haya karibuni