Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!