Ngojaa genye zikushikeee utamtafutaa tuHakuna kurudi nyuma tena nishamove on
Dah pole sana, imekuaje umechelewa kugunduaNilikua na mwanamke wa ajabu sana
Ni demu wangu akija geto kwangu kufanya mambo yetu anakaa hata siku 3 tunakula tunakunywa na bata kama lote halaf akitoka hapo anataka umlipe
Kuna wanawake wa ajabu dunia hii, nlikua nadate na kiazi aisee siku una pesa haelewi ukiwa na nacho na usipokua nacho muda wote anaona unambania tu pesa
Mwanamke gani haelewag mtu akiwa na shida au wakat mgumu?Lakini ukiwa nacho unampa na unamtumia
Unauguliwa au upo kwa kipindi kigumu hajui hata kufariji au hata ukiwa unaumwa hata msg ya unaendeleaje hatumi zaidi ataongea tu shida zake umtamtulie
Siku hiyo kaja geto kakuta nina week ngumu kinyama manzi hata haelewi nilimpa elfu 5 maana hiyo week nilikua nimefulia vibaya mnoo yaani nilibakiwa na elfu 15 tu nikampa 5000 nikamuelewesha, nimetoka tu nimeenda nje akaiba ile 10000 nakuja nasaka wapi sikumuuliza chochote kile nikakausha
Nimekaa kama 3 weeks tu nikimtext na kumpigia cm hata vocha namtumia leo nikamwambia aje eti ananiuliza "pesa ipo?"
Hapo nikabaki nimeduwaa nikamuuliza kwani we upo kwangu kimapenz au upo kimaslah au unajiuza kwangu?eti likamaind
Siwezi kufuga ujinga mimi nimepiga chini sitaki mazoea naye kuanzia leo!
Wanawake wengine siyo kabisa najuta nguvu zangu na nilivyokupambania hizo hela nilizokua nakupa kila week bora ningemtumia tu mamangu mzazi ipo siku utanikumbuka!
Niwekeze nguvu zangu kwenye kutafuta pesa tu sasahv na kujiwekeza mm km mimi nyambafu
😂 😂 😂 😂 😂kwa tafiti zisizo rasmi
Kwa maelezo ya mleta mada huyo kicheche hata ukimla kiboga siyo jambo geni kwake huyo ni mdangaji na hakuna mdangaji asiyeliwa tigo.mle ndogo huyo mshenzi
Hapa hakuna muachaji, Unatuzuga tu!Nilikua na mwanamke wa ajabu sana
Ni demu wangu akija geto kwangu kufanya mambo yetu anakaa hata siku 3 tunakula tunakunywa na bata kama lote halaf akitoka hapo anataka umlipe
Kuna wanawake wa ajabu dunia hii, nlikua nadate na kiazi aisee siku una pesa haelewi ukiwa na nacho na usipokua nacho muda wote anaona unambania tu pesa
Mwanamke gani haelewag mtu akiwa na shida au wakat mgumu?Lakini ukiwa nacho unampa na unamtumia
Unauguliwa au upo kwa kipindi kigumu hajui hata kufariji au hata ukiwa unaumwa hata msg ya unaendeleaje hatumi zaidi ataongea tu shida zake umtamtulie
Siku hiyo kaja geto kakuta nina week ngumu kinyama manzi hata haelewi nilimpa elfu 5 maana hiyo week nilikua nimefulia vibaya mnoo yaani nilibakiwa na elfu 15 tu nikampa 5000 nikamuelewesha, nimetoka tu nimeenda nje akaiba ile 10000 nakuja nasaka wapi sikumuuliza chochote kile nikakausha
Nimekaa kama 3 weeks tu nikimtext na kumpigia cm hata vocha namtumia leo nikamwambia aje eti ananiuliza "pesa ipo?"
Hapo nikabaki nimeduwaa nikamuuliza kwani we upo kwangu kimapenz au upo kimaslah au unajiuza kwangu?eti likamaind
Siwezi kufuga ujinga mimi nimepiga chini sitaki mazoea naye kuanzia leo!
Wanawake wengine siyo kabisa najuta nguvu zangu na nilivyokupambania hizo hela nilizokua nakupa kila week bora ningemtumia tu mamangu mzazi ipo siku utanikumbuka!
Niwekeze nguvu zangu kwenye kutafuta pesa tu sasahv na kujiwekeza mm km mimi nyambafu