KAPINGA LAZARO
Member
- Jul 23, 2015
- 48
- 12
Baada ya kutafakari kwa kina, Na kwa muda mrefu sana.... Nimeamua Kumpigia kura edwardlowassa kuwa Rais wangu wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania bila kujali kashfa zake. Kama kweli alikuwa ana hatia, hao wanaohubiri kashfa hizi ndio waliotakiwa kumfikisha mahakamani.
Nimeamua kwa Moyo mweupe, Akili Timamu, Bila kushawishiwa na kwa uthabiti kumpigia Lowassa kura kwasababu zifuatazo; - Hatia yake ingethibitishwa na Mahakama pekee.
-Wanaomtuhumu leo (CCM) na serikali walitakiwa kumfikisha mahakamani.
.
-Chini ya CCM wanafunzi wanakaa chini
-Chini ya CCM huduma ya Maji ni shida
-Chini ya CCM rushwa na ufisadi umekita mizizi.
-Chini ya CCM shilingi imeporomoka na kufariki.
-Chini ya CCM huduma ya Afya ni shida
-Chini ya CCM Wajawazito wanajifungulia chini mahosptalini
-Chini ya CCM gharama za maisha zimepanda kukithiri.
-Chini ya CCM ajira hakuna kwa wasomi.
-Chini ya CCM viwanda vimekufa
-Chini ya CCM mashirika ya Umma yamekufa.
-Chini ya CCM Rasilimali zinatumika hovyo.
-Chini ya CCM Twiga wamepanda ndege bila kuonekana na rada.
Hawa twiga sijui walikuwa na Passport!
-Chini ya CCM waandishi wa habari wameuawa.
-Chini ya CCM maelfu ya wanavyuo hawana mikopo
-Chini ya CCM Elimu ya kuanzia shule ya Msingi hadi Chuo kikuu imeshuka kiwango cha ubora.
#3N
-NIMEJIANDIKISHA
-NIMEJIAPANGA
-NITATUMIA KIKATIO CHANGU VIZURI
Nimeamua kwa Moyo mweupe, Akili Timamu, Bila kushawishiwa na kwa uthabiti kumpigia Lowassa kura kwasababu zifuatazo; - Hatia yake ingethibitishwa na Mahakama pekee.
-Wanaomtuhumu leo (CCM) na serikali walitakiwa kumfikisha mahakamani.
.
-Chini ya CCM wanafunzi wanakaa chini
-Chini ya CCM huduma ya Maji ni shida
-Chini ya CCM rushwa na ufisadi umekita mizizi.
-Chini ya CCM shilingi imeporomoka na kufariki.
-Chini ya CCM huduma ya Afya ni shida
-Chini ya CCM Wajawazito wanajifungulia chini mahosptalini
-Chini ya CCM gharama za maisha zimepanda kukithiri.
-Chini ya CCM ajira hakuna kwa wasomi.
-Chini ya CCM viwanda vimekufa
-Chini ya CCM mashirika ya Umma yamekufa.
-Chini ya CCM Rasilimali zinatumika hovyo.
-Chini ya CCM Twiga wamepanda ndege bila kuonekana na rada.
Hawa twiga sijui walikuwa na Passport!
-Chini ya CCM waandishi wa habari wameuawa.
-Chini ya CCM maelfu ya wanavyuo hawana mikopo
-Chini ya CCM Elimu ya kuanzia shule ya Msingi hadi Chuo kikuu imeshuka kiwango cha ubora.
#3N
-NIMEJIANDIKISHA
-NIMEJIAPANGA
-NITATUMIA KIKATIO CHANGU VIZURI
Last edited by a moderator: