Unazijua nafsi tatu za Mungu?Hayo unasema wewe, onesha maandiko ni wapi Yesu alyhi salaam anasema "Mimi Mungu".
Mimi nakuonesha haya:
Yohana 17.3-4
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
Hapo ni dhahiri shahiri kuwa yeye ni mtume na ametumwa tu.
Shetani ni father of deceiver...n fundi wa kudanganya ili akuchote mkafe wote hajawahi kuwa na huruma hata chembe na kiumbe chochote kile.
Ndo maana hata Yesu halijaribiwa na shetani kwa kuaidiwa kupewa Dunia nzima kwa kigezo cha kumtosa mungu, bahati nzuri Yesu anamjua shetani vizuri.
Mleta mada unataka kuwa royal opposition wa master of the people and universe..God...the most high...! Hatari inayokukabili ni zaidi ya hatari. Na pia ni bora kuamini mungu yupo halafu ukamkuta kuliko kuamini hayupo halafu ukamkuta..ist the potential disaster.
Ikiwa kuamfuata shetani ama mungu ni hiari je,Kwa nini kuna adhabu endapo nitamfuata shetani.Mungu "mwenye enzi" amekuumba wewe kwa mapenzi yake, ila uamuzi wa kumuamini na kushika amri zake au kumfuata shetani ni wa kwako. Si vyema sana kuchagulia watu maamuzi ila nina amini kutokana na pita pita zako za hapa na pale umeshawahi kufahamu au kujua hatma ya kumfuata shetani na mambo yake na kama bado basi si vibaya ukaperuzi vitabu mbali mbali na machapisho mbali mbali ili upate huo uelewa na ufahamu.
kwa hiyo wewe unaamini Mungu yupo kwa kuwa tu una hofu siku ukienda halafu ukamkuta itakuaje.Shetani ni father of deceiver...n fundi wa kudanganya ili akuchote mkafe wote hajawahi kuwa na huruma hata chembe na kiumbe chochote kile.
Ndo maana hata Yesu halijaribiwa na shetani kwa kuaidiwa kupewa Dunia nzima kwa kigezo cha kumtosa mungu, bahati nzuri Yesu anamjua shetani vizuri.
Mleta mada unataka kuwa royal opposition wa master of the people and universe..God...the most high...! Hatari inayokukabili ni zaidi ya hatari. Na pia ni bora kuamini mungu yupo halafu ukamkuta kuliko kuamini hayupo halafu ukamkuta..ist the potential disaster.
NIKUPE JIBU KWA HERUFI KUBWA::KAMA HUJAMWONA SHETANI CHUKUA KIOO UJIANGALIE. UTAMWONA.Walokole wanadai wanamwomba Yesu awapelekee naombi yao kwa Mungu mwenyezi.Na wanapiga kelele na kunena kama vichaa,kiasi cha kuwaombea kifo.
Kwakuwa shetani wanayetwambia yupo na wala hajawai kuonekana na wala hana mafundisho yake naomba niwe mfuasi wake maana hana kelele hajawai kuitisha mikutano.Karibuni tujiunge tutasonga mbele sana.
Very simple, it is not like a rocket science, nothing needs to think big here, kufuata sheria za nchi au la ni hiari yako, sasa usipozifuata inakuaje?Ikiwa kuamfuata shetani ama mungu ni hiari je,Kwa nini kuna adhabu endapo nitamfuata shetani.
Think big.....
.........…Free ideas.......
Unazijua nafsi tatu za Mungu?
Ndiyo maana wakati wa kumuumba Adamu, Mungu alisema "na tumfanye mtu kwa mfano wetu "hakusema "Na nimfanye mtu kwa mfano wangu " soma kitabu cha mwanzo, manake kuna Mungu Baba, Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu!
Ndiyo maana Yesu aliwaambia wayahudi yeye alikuwepo kabla ya baba yao Musa wakataka kumpiga mawe, wanadamu hawapendi kuambiwa ukweli,
Nakushauri umkubali huyu Yesu maana njia ya mbinguni ni yeye peke yake,
Mitume wengine hawakufufuka
Lakini yeye alishinda kifo, mauti na kaburi
Duu nimecheka kwa kusikitika, ila kwa kuwa umeamua mwenye, hata kurudia MUNGU utamua wewe mwenyewe, na nina uhakika ipo siku utakutana yae kwenye kona moja hivi utalia na kutoa machozi baada ya kugundua shetani ni mnafiki zaidiWalokole wanadai wanamwomba Yesu awapelekee naombi yao kwa Mungu mwenyezi.Na wanapiga kelele na kunena kama vichaa,kiasi cha kuwaombea kifo.
Kwakuwa shetani wanayetwambia yupo na wala hajawai kuonekana na wala hana mafundisho yake naomba niwe mfuasi wake maana hana kelele hajawai kuitisha mikutano.Karibuni tujiunge tutasonga mbele sana.
safari njema
unapenda sana ligi za udini, ukiambiwa ya upande Wako unatamani kujilipua we gaidi mkubwaShetani ni sifa ewe punguani.
Wakristo wanadai Yesu (ambae mwenyewe anasema yeye ni mtu) kuwa ndiyo Mungu wao, tena wamewekewa picha ya mzungu, basi wengine mpaka wanaiabudu.
Haya mambo hayaendi kimwili kama unavyofikiria,Usiniletee story za redio za zamani "three in one".
Soma:
Mathayo 27:
46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
"Mungu" kaachwa na Mungu?
Hamfikirii japo kiduchu?
Kwanza kwa kutaka kukuthibitishia kwamba mungu yupo angalia the "perfect distance" kati ya dunia na jua vimewekwa kwa umbali sahihi kabisa incase dunia ingesogezwa mbele kwa hatua chache tu kuelekea jua basi isingeweza kuhimili moto mkali unaowaka pale kwenye jua na ingeungua na kuteketea na duniani kusingeweza kuwa na maisha.kwa hiyo wewe unaamini Mungu yupo kwa kuwa tu una hofu siku ukienda halafu ukamkuta itakuaje.
Ni hofu ndiyo inayokufanya uamini Mungu yupo..... unadhani mungu anapenda kuogopwa?