kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
Ndugu wanajamii,
nimekutana na jamaa mmoja mwenyeji wa huko Bukoba- katika kupiga story kaeleza jinsi anavyolima huko BUKOBA na ambavyo hapati mazao ya kutosha kutokana na kilimo cha maharage na mahindi.. alibainisha kwamba katika ekari kumi alizonazo anavuma magunia 3 mpaka 4 ya maharage. na kama ni mahindi basi anapata magunia saba..
katika soma soma zangu hapa JF niliwahi sikia kwamba kwenye ekari moja unaweza kupata hata gunia 5-10 za maharage na zaidi ya 10 za mahindi. sasa hapo utaona kwamba mazao anayopata kwenye ekari 10 mtu mwingine anayapata katika ekari moja.
kwa kuwa mimi sina utaalamu sana wa kilimo cha maharage na mahindi, naomba kuuliza na kupatiwa majibu katika yafuatayo:
thanks
nimekutana na jamaa mmoja mwenyeji wa huko Bukoba- katika kupiga story kaeleza jinsi anavyolima huko BUKOBA na ambavyo hapati mazao ya kutosha kutokana na kilimo cha maharage na mahindi.. alibainisha kwamba katika ekari kumi alizonazo anavuma magunia 3 mpaka 4 ya maharage. na kama ni mahindi basi anapata magunia saba..
katika soma soma zangu hapa JF niliwahi sikia kwamba kwenye ekari moja unaweza kupata hata gunia 5-10 za maharage na zaidi ya 10 za mahindi. sasa hapo utaona kwamba mazao anayopata kwenye ekari 10 mtu mwingine anayapata katika ekari moja.
kwa kuwa mimi sina utaalamu sana wa kilimo cha maharage na mahindi, naomba kuuliza na kupatiwa majibu katika yafuatayo:
- Je Mbegu gani nzuri za mahindi na Maharage .. Na je zinapatikana wapi -- naomba kupata jibu specific ya aina pamoja na zinapopatikana
- Ninajua Maharage yapo ya aina nyingi... Je aina ipi inatoa mazao mengi? upatikanaji wake upoje?
- Je unapolima maharage na mahindi , Je unatakiwa upande umbali gani kati ya shimo moja na jingine (i.e je kuna kipimo maalum?)
- Je ukubwa wa shimo unatakiwa uweje
- Je ni lazima kuweka mbolea katika kila shimo kabla kupanda-- kama ni ndiyo je uweke samadi kiasi gani.
- Je ni wakati gani wa kupanda yaani Je ni kabla ya mvua kuanza, katikati ya msimu wa mvua au mwisho wa msimu wa mvua? nauliza hivyo nikiwa na mawazo ya kuhakikisha mvua haiharibu maua ya harage/hindi yatakayotoa mazao.
thanks