Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.

Elinino.
Its 4yrs since umeandika ilo wazo hapo juu. Pls tupe progress kama njia ya kujifunza. Je lengo au plan lilifanikiwa kwa asilimia ngp? 50%? 80%? Au zaidi ya 100%?. Coz niko kwenye same mchakato nimeanza nimeona utamu. Nataka nijikite kbsa kwenye kilimo.
 
mpango wangu nataka nije niwe mkulima mkubwa,action plan yangu inaniongoza hivi,kwanza nichague mazao ya kulima,nichague mifugo ya kufuga na miti ya mbao ya kupata,pamoja na kufanya trial run za kila kimoja. nimeanza kujenga/kufanya project zitakazo-support kilimo changu huko mbele bila kukopa sana benki
Na la mwisho ninanunua ardhi sehemu ambazo maji yapo ya kuaminika,miundombinu na manpower.

Kwa hiyo utaona kwamba kuna project moja itaibeba project nyingine bila kuiathiri. Ukifaulu hilo bro,basi ktk kilimo ingia.

Usimalize maeneo yote mkuu
 
Hebu naomba uniweke vizuri hapo kwenye gharama

Kwanza naomba kujua Turiani hawaweki mbolea? na kama wana weka mbolea ni mara ngapi( Kupandia, Kukuzia au Kuzalishia)

Baada ya hapo nataka kujua gharama za kulima shamba kwa ekari moja
Gharama za palizi ya kwanza na yapili.
Gharama ya kupanda maana ekari hamsini huwezi panda peke yako
Gharama za uvunaji na mbegu.

Gharama ya kuandaa shamba mpaka kuvuna kwa Tsh 100,000/= sidhani kama ni sahihi. Pia kupata gunia 30 kwa ekari?


Itc more theoretical than practical.
 
Greetings,
Naomba kupata feedback kuhusu kilimo ulichofanya, mafanikio,changamoto nk. Pia naomba kwa yeyote mwenye taarifa sahihi za gharama za kilimo huko Turiani anisaidie ili niweze kujua namna ya kuungana na wenzangu kwenye kilimo.

Ahsanteni sana.
 
Greetings,
Naomba kupata feedback kuhusu kilimo ulichofanya, mafanikio,changamoto nk. Pia naomba kwa yeyote mwenye taarifa sahihi za gharama za kilimo huko Turiani anisaidie ili niweze kujua namna ya kuungana na wenzangu kwenye kilimo.

Ahsanteni sana.

Nakutumia Naomba zangu PM ntakupa full details kuhusu hitaji Mimi nipo Turiani.
 
Nakutumia Naomba zangu PM ntakupa full details kuhusu hitaji Mimi nipo Turiani.

Nashukuru sana Mkuu, nimeona PM yako lakini haina namba ya simu na nimejaribu ku reply ikakataa kwakuwa sijafikisha topic 5. Naomba ujaribu kuniandikia tena namba zako tafadhali.
 
Nashukuru sana Mkuu, nimeona PM yako lakini haina namba ya simu na nimejaribu ku reply ikakataa kwakuwa sijafikisha topic 5. Naomba ujaribu kuniandikia tena namba zako tafadhali.

Cheki PM yako tena nimetuma namba.
 
Nilikua namshauri ndugu yangu mmoja awe ana attend seminar za entrprenuership aboreshe biashara zake akannijibu hivi

'' yaani mtu ambaye hajawahi kuuza hata karanga akanifundishe biashara?
Nadhani ni uelewa wa huyo rfiki yako tu hapo katika mambo ya consultation na semina za capacity building, mbona mwalimu anakufundisha uwekezaji darasani lakini yeye hana hata investment yeyote? pia kuna profesa mmoja wa mambo ya Strategic management na business management (MICHAEL E. PORTER)from harvard business school, anatoa mafunzo bora kabisa dunian kuhusu competitive advantage.

Sasa mbona yeye si mjasiriamali lakini anafundisha wajasiriamali wakubwa duniani na wanafanikiwa sana la kuangalia hapa ni tofauti ya soft skills na solid skills, kuna waalimu wa ujasiliamali hawanabiashara ndio lakini wamefanyakazi kwnye secta fulani na wanauzoefu mkubwa sana.

Mtazamo tu
 
amani kwenu wajasiliamali. nahitaji kulima mahindi msimu huu ila nimelenga soko la kuyauza yakiwa bado mabichi..
naombeni uzoefu kama kuna aliyewahi fanya hivi kuhusu faida..
nalima ekari mbili
 
Kama Upo Karibu Na Ukanda Wa Pwani muda huu(up to jan15) ulitakiwa uwe umepanda. Mahindi ya vuli yapo mbioni kukomaa, so ya jan obviously march ungetoa na kipindi hicho sio cha msimu wa mavuno rasmi ya mahindi Nchi nzima.
Utapata mchuzi km utazingatia kulima kitaalam i,e tumia mbegu ya siku60 tamu kwa kuchoma.
Kila La Heri.
 
Kwa morogoro Januar ni ngumu. Hapo itabidi usubiri msimu unaoanza kati ya Feb 15 na March 15 kutegemea uko moro sehemu gani
 
Mkuu dr slaa ndio anaingia madarakani... Tupe moyo ndugu kwani nasi tuko ka tumelogwa
 
Natoa huduma ya Kukufungia Greenhouse ya bei nafuu kabisa. 8m by 18m with complete Drip irrigation system & 1000lt Tank plus Free Extension Service for 3month kwa TSHS.3,200,000/- ONLY. just call 0772668500
 
Back
Top Bottom