Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
Najua ameuliza hili swali kwa mda mrefu,japo si vibaya nikikujibu leo.Naomba kufahamishwa mbegu ya mahindi yenye sifa zifuatazo:
1: inayostawi ukanda wa chini
2: yenye punje kubwa
3:inayostahimili magonjwa.
1.Kwa ukanda wa chini mbegu ya DK 8053,na DK 9089 zinafanya vizuri na baadhi ya mbegu za SeedCo.
2.Ukanda wa kati
DK 9089,H625,H 614.
3.Ukanda wa juu
DK 777,H614 hata H 625 huwa inafanya vizuri.
Kwa sasa madukani kuna mbegu nyingi sana za makampuni tofauti. Ni vema ukaomba ushauri kwa wauzaji wa pembejeo au wataalamu wa kilimo walio eneo lako ili wakusaidie zaidi.