Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Wakuu mambo vipi?

Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha mahindi na maharage ya njano, kwa mkoa wa Njombe, hasa kuhusu upande wa soko la nafaka hizi. Nahitaji hasa kujua upatikanaji wa soko, baada ya kuvuna .

Kwa sababu nina plan ya kwenda kuanza kilimo mwishoni mwa mwaka huu, kwa mkoa wa njombe.
Nakushauri kama mtaji wako bado ni mdogo anza kwa kununua mazao toka kwa wakulima ongeza mtaji.
 
Habarini wakuu Mimi ni mnunuzi wa maharage ya Njano nauliza mavuno tofauti ya haya maharage sehemu mbalimbali Tanzania
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
IMG_20200806_175054.jpg
 
Mr. ELNIN0 Naomba mrejesho hapa Tafadhali? Mimi pia nimechoka na ajira
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Wapiga soga wa JF watu wanaulizia feedback kana kwamba watu walieka ubia wakamkabidhi fedha zao sasa wanataka mrejesho. Unafiki tu katoa mwongozo kila mtu apambane na hali yake asa mrejesho mrejesho kuanzia page ya kwanza hadi 41 watu wanataka mrejesho no wonder jamaa kapiga kimya.
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
2010 up to now MIAKA 10 SASA
 
Unataka shamba la parachichi la ukubwa gani? na embe za muda mrefu au mfupi? Je umesikia Cocoa za kilimo hai?
Baada ya mwezi mmoja nitakuwa na majibu ya maswali yako hasa kuhusu Parachichi. Ukienda Mkuranga pwani ardhi ipo kibao kwa ajili ya embe,kama uko serious ni-pm nikuelekeze utakaponunua ardhi bila dalali wala 10%.
Naomba tuwasiliane
 
SHAMBA+

Habari.....?..
ni taarifa njema kwa wakulima na wauzaji pembejeo pamoja na dawa za kilimo,,,
kampuni yetu pendwa ya NEXIS tunatoa fursa kwa wakulima na wauzaji pembejeo pamoja na dawa za kilimo kuweza kuwasajili bure kwenye system mpya ambayo itawawezesha wakulima,wauzaji pembejeo pamoja na dawa za kilimo muweze kukutana kwa njia rahisi kupitia application maalum ambayo mtapaswa kujisajiri bure ...
kwa sasa tunaanza kuwasajili wale wenye maduka ya uuzaji pembejeo pamoja na dawa za kilimo..ili tuweze kuwaingiza kwenye system yaani application...huduma hii ni bure

karibuni kwa wauzaji pembejeo unaweza kutuma majina yako kamili pamoja na namba yako ili tuweze kujisajili sasa

karibuni sana
 
Naomba kufahamishwa mbegu ya mahindi yenye sifa zifuatazo:

1: inayostawi ukanda wa chini
2: yenye punje kubwa
3:inayostahimili magonjwa.
 
habari wakuu....?
nimerahisisha kwa sasa unaweza kuingia kwenye hizo link ukajibu maswali ya survey kirahisi...
karibuni kwenye familia ya SHAMBA PLUS
 
na hii ni maalum kwa mabwana shamba utajibu maswali kisha uta submit
karibuni kwenye familia ya SHAMBA PLUS
 
HABARI wakuu

SHAMBA+ ni mtandao unaotumia App, Whatsapp channel na SMS utakaokutanisha wadau wote wa kilimo ie Wakulima, Bwana shamba, wauzaji pembejeo na mbegu na madawa, na masoko ya bidhaa za kilimo. Kazi/dhumuni la huu mtandao ni :
(i) Ushauri wa kilimo kutoka kwa agronomist - NI BURE kama unatumia WHATSAPP au APP, kama ni SMS utalipia

(ii) Maswali na majibu kati ya mkulima, Agronomist, wauzaji pembejeo - NI BURE kama unatumia WHATSAPP au APP, kama ni SMS utalipia

(iii) Agronomist kuweza kuona maduka ya pembejeo/mbegu, wakulima mbalimbali na Agronomists wenzao wa mikoa mbalimbali na kuweza kuwasiliana na kujitangaza - NI BURE ila ni kwa kutumia APP NA WHATSAPP tu

(iv) Kuona masoko na kuwasiliana na wanunuzi wa mazao - NI BURE ila ni kwa kutumia APP NA WHATSAPP tu
 
shamba+

habari wadau wa kilimo .....kwa sasa tiyari tushafungua whatsapp channel ya kusubscribe isave hii namba +27634444350 kisha ingia whatsapp na uitumie ujumbe wa neno la shamba+ kwa herufi ndogo hapo moja kwa moja utakuwa umesubscribe....

baadaye wadau wengi wa kilimo wakisha subscribe hii channel itakuwa inasaidia kutoa information kwa mfano mkulima akiingia na kuulizia masuala ya pembejeo au bwana shamba basi moja kwa moja ataweza kupata jibu hapo hapo kupitia bwana shamba aliye hewani kwa mda husika...pia unaweza kufollow page yetu instagram shambaplus_

kwa maelekezo zaidi unaweza kunipigia 0692449416
 
Back
Top Bottom