Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Hello..... Karibuni Sana Katika group linalohusu ufugaji wa nguruwe

Karibu Sana wewe mtaalamu wa mifugo, mfugaji, mnunuzi, pamoja na Wale wenye kiu ya kujifunza zaidi kuhusu ufugaji huu wenye tija na kipato cha uhakika.....

Click link ifuatayo kujiunga......

Zingatia kujitambulisha pindi tu uingiapo katika group hili
ZINGATIA KUJITAMBULISHA PINDI TU UINGIAPO KATIKA GROUP HILI... JINA, MKOA, SHUGHULI

TSA- PIG FARMING
 

Heshima kwako ELNINO,

Wazo lako zuri sana binafsi nimeshalifanyia kazi tangu mwaka 2008, baada ya kugundua mshahara pekee bila kuwa na kipato kingine cha uhakika ni balaa kadri siku zinavyosonga mbele kwasababu majukumu yanazidi kuongezeka eg:watoto na nk.

Nimenunua shamba eka 250 kwa tsh 3.5 mil maeneo ya Kabuku Tanga na kuanza kulima mwaka huo huo(2008).Project yangu nimeigawanya katika sehemu kuu mbili [1] Mazao ya msimu eg;Mahindi,Dengu,Choroko,Mbahazi,Alizeti na Ufuta

[2] Mazao ya kudumu eg Maembe ya kisasa,Machungwa,Mananasi,korosho na Minazi.

Mazao ya msimu yamenisaidia sana kupunguza gharama za uendeshaji ambazo kwa kweli ni kubwa kuliko ulizozitaja hasa ukizingatia kila mwezi naenda shambani mara mbili.

Zipo faida nyingi ambazo tayari nimeshaanza kuziona hata hivyo kitu kilicho wazi kabisa ni kuongezeka kwa kipato mara dufu.

Ushauri wangu kwa wanaJF wote tuchangamkie kilimo kwasababu kinalipa sana,tuache kubweteka mijini au kufanya shughuli ambazo tayari watanzania wengine wameshazianzisha eg saloon,biashara ya taxi au daladala.Ardhi Tanzania bado ni rahisi sana nina uhakika kama unapata mshahara kuanzia 500,000/= na kuendelea unao uwezo wa kumiliki shamba kubwa ambalo litakusaidia wewe na kizazi chako.Tumekataa wana EAC kumiliki ardhi Tanzania wakati sisi wenyewe tunaiangalia bila kuifanyia kazi itafika siku hatutakuwa na sababu za kuwakatalia
.

Hongera sana Elnino umeamua jambo jema Mungu akubariki.

Naomba kuwasilisha.

Kwa sasa huko maeneo ni sh ngapi kwa heka naomba kupata mwongozo
 
Halafu wakuu nimesikia kuwa mahindi ya Dodoma yanatoa unga kilo nyingi yakisagwa kuliko mahindi ya sehemu zingine.

Na kwamba mahindi ya Mbeya (na nyanda za juu kusini) unga wake ni mtamu kuliko mengine.

Kwa hiyo nikasikia kuwa mahindi ya Dodoma huwa yananunuliwa kwa bei kubwa, na yanawahi kuisha sokoni.

Swali je:

1. Hayo maneno ni kweli?

2. Kama ni kweli, je sababu ni nini? - Hali ya hewa au aina ya mbegu au vyote? Mfano unaweza ukapanda mahindi ya Dodoma Mbeya na vice versa?
 
Halafu wakuu nimesikia kuwa mahindi ya Dodoma yanatoa unga kilo nyingi yakisagwa kuliko mahindi ya sehemu zingine.

Na kwamba mahindi ya Mbeya (na nyanda za juu kusini) unga wake ni mtamu kuliko mengine.

Kwa hiyo nikasikia kuwa mahindi ya Dodoma huwa yananunuliwa kwa bei kubwa, na yanawahi kuisha sokoni.

Swali je:

1. Hayo maneno ni kweli?

2. Kama ni kweli, je sababu ni nini? - Hali ya hewa au aina ya mbegu au vyote? Mfano unaweza ukapanda mahindi ya Dodoma Mbeya na vice versa?
Mkuu maneno haya ni ya kweli. Na tofauti hii inasababishwa na aina ya udongo. Mahindi ya Tanga ndiyo yanashika mkia ktk biashara ya mahindi.

Yanayoongoza kwa bei na ubora ni ya Pwani, yakifuatiwa na ya Dodoma
 
Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30,
Mkuu wewe hukijui kilimo cha mahindi, utakuwa umesimuliwa tu. Tena aliyekusimulia ni MTU mzima na siyo kijana. Hivyo ametoa simulizi za kilimo cha mahindi ktk mkoa wa Moro miaka ya nyuma sana


Sasa hivi kupata gunia 30 kwa ekari, HAIWEZEKANI, na HAITATOKEA ,
.n.k
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
mkuu ulifanya maamuzi mazuri sana mkuu
 
mkuu ulifanya maamuzi mazuri sana mkuu
Swali ni kwamba unalima kwa kutegemea hii mvua ya Mungu wetu au unamwagilia!? Hilo moja, pili ni muwa je umesahawahi kulima? Na uana wataalam wowote in this noble initiative? Ni vizuri kuyaangalia hayo pamoja na mambo mengine mengi ya kitaalamu ili ushinde Elnino! Bye for now
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
ELNINO, sijapitia uzi wako kwa muda mrefu tangu ulipouleta hapo 2010. Leo ni 2018, kwa kweli binafsi nitafurahi na kuhamasika sana kujua maendeleo ya mradi huo leo - yaani miaka minane (08) tangu ulete uzi huu. Ni ombi tu ili tujue feedback na maendeleo yako katika kilimo hiki huko TULIANI.

Nia ni kutaka tujue UMUHIMU wa kilimo in our economy as individuals and as a NATION. By the way ardhi bado ipo huko Tuliani, yaani ya kununua na ni bei gani kwa sasa kwa ekari moja?
 
Nawakumbusha tu, kwa sasa ukiweza kuuza gunia la mahindi zaid ya 25,000 umshukuru mungu
 
Jamani wana JF; tunauza vifaranga vya kienyeji PURE; mbegu toka Morogoro; Mbeya; Iringa; Dodoma na Morogoro: Pia tunatotoresha mayai aina zote kwa 8,000 kwa tray. Tuwasiliane kwa PM au piga 0682 231053
 
Mbegu za DK Zina mazao mengi, shida sasa ni unga wake ni mwepesi sana, hivyo hutumia unga mwingi kupika ugali wa watu WACHACHE.
Kwa Tanga ambapo ni pwani, tumia Seedco 403, mahindi yake ni mazito, na pia ya muda mfupi.
mkuu dk 9089 iringa vp?...udongo ufinyanzafinyanzi...nataka kuuza gobo!
 
mkuu dk 9089 iringa vp?...udongo ufinyanzafinyanzi...nataka kuuza gobo!
Kwa mahindi ya kuuza mabichi, mahindi mazuri ni hybrid Ile ya Kenya ya muda wa Kati, kwani iringa siyo baridi sana wala siyo joto sana, kwa sababu yanasukari kuliko dk.

Sent from my Infinix-X551 using Tapatalk
 
Jamani wana JF; tunauza vifaranga vya kienyeji PURE; mbegu toka Morogoro; Mbeya; Iringa; Dodoma na Morogoro: Pia tunatotoresha mayai aina zote kwa 8,000 kwa tray. Tuwasiliane kwa PM au piga 0682 231053
Hivyo vifaranga mnaviuza kwa shiling ngapi?
 
Back
Top Bottom